RAIS MAGUFULI: YEYOTE ATAKAYEPOKEA VIFAA VYA KUPAMBANA NA CORONA NA VIKIPIMWA NA KUKUTWA NA VIRUSI HIVYO ASHITAKIWE NA KESI YA MAUAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vGB8Id5G-VM/XsZGepP6BbI/AAAAAAAAUSs/j3P4of-HvD43KYSUe2hj_AYahOkWrjCPgCLcBGAsYHQ/s72-c/46260047_303.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, ameagiza kuwa mtu yeyote atakayepokea vifaa vya kupambana na Virusi vya Corona, vikishapimwa na Maabara Kuu ya Tanzania na kukutwa vina Virusi vya hivyo, basi ashitakiwe na apewe kesi ya jinai.
Rais Magufuli ameyabainisha hayo leo Mei 21, 2020, Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma, mara baada ya kuwaapisha Mabalozi wa nchi mbalimbali , Mkurugenzi wa TAKUKURU na Katibu Tawala Mkoa na kuongeza kuwa vitu vya bure vina...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: India yakataa vifaa vya kupima virusi hivyo kutoka China
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Tanzania yafika 147 baada ya wagonjwa 53 zaidi kukutwa na virusi hivyo
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona: Wanasayansi waelezea chanzo cha virusi hivyo
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Je maambukizi ya mwisho ya virusi hivyo yatafanyika wapi?
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya coroni: Je maiti ya mgonjwa wa corona inaweza kusambaza virusi hivyo?
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya corona: Madereva 4 wa malori kutoka Tanzania wakutwa na virusi hivyo Uganda
5 years ago
BBCSwahili23 May
Virusi vya corona: Utafiti wa kubaini iwapo mbwa anaweza kugundua virusi hivyo umeanzishwa
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya Corona: Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na corona.