RAIS MAGUFULI APONGEZWA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CMSs1sK0-yc/XsYGgPSCLKI/AAAAAAALrDQ/y_cOwqEoFKU6MwgcgkwDnghuvUujaMr7ACLcBGAsYHQ/s72-c/1dfc1724-dbcc-4a45-9fe3-6827061e6fca.jpg)
…………………………………………………………………………….
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepongezwa kwa hatua zote alizochukuwa za kupambana na ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na virusi Corona ambapo amefanikiwa kulinda usalama na uhai wa Raia wake.
Hayo yamesemwa leo Jumatano Mei 20, 2020 na Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu kwenye mkutano na Wananchi uliofanyika Kijiji cha Ruvuma kilichopo kata ya Mihambwe wakati wa ziara ya kikazi ya Kamanda wa Polisi Mkoa (RPC) wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cxEkbzwy32Q/XrPIDCLKNJI/AAAAAAACKMA/Zjfj3ori--I5MWF74eINExbTy8SB_oFpQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200507_113251.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI APONGEZWA KUTOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA, INASAIDIA KUZUIA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cxEkbzwy32Q/XrPIDCLKNJI/AAAAAAACKMA/Zjfj3ori--I5MWF74eINExbTy8SB_oFpQCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200507_113251.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa kuwasamehe wafungwa 3973 uliofanywa na Rais Dk. John Magufuli (pichani) ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/rjXTSjmGSls/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vGB8Id5G-VM/XsZGepP6BbI/AAAAAAAAUSs/j3P4of-HvD43KYSUe2hj_AYahOkWrjCPgCLcBGAsYHQ/s72-c/46260047_303.jpg)
RAIS MAGUFULI: YEYOTE ATAKAYEPOKEA VIFAA VYA KUPAMBANA NA CORONA NA VIKIPIMWA NA KUKUTWA NA VIRUSI HIVYO ASHITAKIWE NA KESI YA MAUAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vGB8Id5G-VM/XsZGepP6BbI/AAAAAAAAUSs/j3P4of-HvD43KYSUe2hj_AYahOkWrjCPgCLcBGAsYHQ/s400/46260047_303.jpg)
Rais Magufuli ameyabainisha hayo leo Mei 21, 2020, Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma, mara baada ya kuwaapisha Mabalozi wa nchi mbalimbali , Mkurugenzi wa TAKUKURU na Katibu Tawala Mkoa na kuongeza kuwa vitu vya bure vina...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-s19pUmlvTxs/XpQPTeZYt3I/AAAAAAALm1A/9tO8qRUCtmwpfVE6Q6KwfjJ8gJzrZETggCLcBGAsYHQ/s72-c/d8a5498d-1d4c-4cab-b975-c04c2e043734.jpg)
JUMUIYA YA MABOHORA YAENDELEA KUPELEKA MISAADA HOSTELI YA MAGUFULI KUPAMBANA NA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-s19pUmlvTxs/XpQPTeZYt3I/AAAAAAALm1A/9tO8qRUCtmwpfVE6Q6KwfjJ8gJzrZETggCLcBGAsYHQ/s640/d8a5498d-1d4c-4cab-b975-c04c2e043734.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nV743Ng5Hu4/XpQPTQJHdEI/AAAAAAALm1E/-LKX_nCKg0IMCPO0cT2t9yE6F0WyD96igCLcBGAsYHQ/s640/32846d15-3fce-43e2-9ca5-05f96b16cad0.jpg)
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu
9 years ago
StarTV30 Nov
CWT Iringa yaunga mkono juhudi za Rais Magufuli kupambana na ubadhirifu
CHAMA cha walimu Tanzania CWT tawi la Iringa kimesema jitihada zinazofanywa na uongozi wa awamu ya tano ya rais Dr.John Pombe Magufuli zinapaswa kuungwa mkono na watanzania wote wenye fikra pevu na nia njema ya maendeleo ya Taifa.
Zuio la posho kwa watumishi wa serikali, matumizi holela ya fedha za umma pamoja na kutafuta njia mbadala ya namna ya kusherekea siku ya Uhuru na maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwa na tija kwa jamii badala ya manufaa ya...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Wahitimu wa Vyuo Vikuu nchini watakiwa kumsaidia Rais Dkt. Magufuli kupambana na ufisadi-Dr.Walukani
Proffessa, John Adamson Mwakilima akitunuku Shahada ya Udaktari na Uzamivu wa Falsafa katika Maswala ya Uongozi kutoka Chuo cha New Life Bible College and Seminary USA chenye tawi lake Kata ya Mlandizi mkoani hapa mhitimu Walukani Luhamba ambaye ni Ofisa Mfawidhi wa Sumatra Mkoa wa Tanga juzi.
Dr.Walukani Luhamba akipongezwa na Familia yake mara baada ya kutunukiwa Shahada ya Udaktari na Uzamivu wa Falsafa katika maswala ya Uongozi kutoka Chuo cha New Life Bible College and Seminary USA...
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya corona: Jinsi viongozi wa Afrika wanavyojikata mishahara kupambana na corona