Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS DK. MAGUFULI APONGEZWA KUTOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA, INASAIDIA KUZUIA MAAMBUKIZI YA CORONA

Na Mbaraka Kambona, Dodoma
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa kuwasamehe wafungwa 3973 uliofanywa na Rais Dk. John Magufuli (pichani) ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi  ya  maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona.

Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona. 

Alieleza   kuwa msamaha huo ni...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

THBUB: Msamaha kwa Wafungwa ni hatua muhimu kuzuia maambukizi ya Korona Magerezani

Na Mbaraka Kambona,

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa Mheshimiwa Rais, Dkt. John Pombe Magufuli wa kuwasamehe wafungwa 3973 ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na Virusi vya Korona.

Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.

Alieleza kuwa msamaha huo ni muhimu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wafungwa zaidi ya 54,000 waachiwa huru Iran kuzuia maambukizi ya virusi vya corona

Msemaji wa idara ya mahakama amesema wafungwa waliachiwa huru baada ya kuthibitishwa hawana virusi vya corona

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI APONGEZWA KUPAMBANA NA CORONA










…………………………………………………………………………….

Na Mwandishi wetu Mihambwe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepongezwa kwa hatua zote alizochukuwa za kupambana na ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na virusi Corona ambapo amefanikiwa kulinda usalama na uhai wa Raia wake.

Hayo yamesemwa leo Jumatano Mei 20, 2020 na Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu kwenye mkutano na Wananchi uliofanyika Kijiji cha Ruvuma kilichopo kata ya Mihambwe wakati wa ziara ya kikazi ya Kamanda wa Polisi Mkoa (RPC) wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vy corona: Jinsi Korea Kusini ilivyofanikiwa kuzuia maambukizi ya corona

China, Italia, Iran na Korea Kusini hadi kufikia leo ni miongoni mwa mataifa yaliyoathirika zaidi ya usambazaji wa virusi vya corona, na serikali zao zimechukua hatua kukabiliana na usambaaji wa virusi hivyo.

 

5 years ago

Michuzi

Rais Magufuli Agawa Usafiri kwa Maafisa Tarafa Rukwa Huku Wakikisitizwa kutimiza Majukumu ya Serikali Hasa Kutoa Elimu ya Corona

Maafisa tarafa za Tarafa 12 za mkoa wa Ruk2wa wakiwa kila mmoja amesimama nyuma ya Pikipiki tayari kwa kukabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kwa niaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Afisa Tarafa wa Tarafa ya Namanyere Wilayani Nkasi Kasim Ibrahim akitia saini hati ya Makabidhiano mbele ya Mkuu wa mkoa wa Rukwa pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa ili kukabidhiwa Pikipiki aliyoahidiwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.



Katibu Tawala wa MKoa wa Rukwa Benard Makali akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa...

 

5 years ago

Michuzi

BALOZI DK.ASHA-ROSE MIGORO APONGEZA HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA RAIS MAGUFULI KATIKA KUKABILIANA NA MAAMBUKIZI YA CORONA

*Agusia athari za Lockdown zilizoanza kujitokeza nchini Uigereza

 Na Said Mwishehe, Michuzi TV

BALOZI wa Tanzania nchini Uingereza Dk.Asha-Rose Migiro amepongeza hatua ambazo zimechukuliwa na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dk.John Magufuli katika kukabiliana na virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19 ikiwemo ya kutoweka nchi kwenye 'Lockdown'.

Dk.Migiro amesema katika kukabiliana na Corona kila nchi iliamua kuchukua hatua kulingana na mazingira yake huku akifafafanua kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je, nchi za Afrika zimeweza kuzuia kasi ya maambukizi?

Rwanda, Nigeria zaungana na Afrika Kusini, Ghana, Kenya kulegeza masharti.

 

11 years ago

Mwananchi

Msamaha kwa wafungwa uwekewe mfumo mpya

Katika kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwishoni mwa wiki, Rais Jakaya Kikwete alitoa msamaha kwa wafungwa 3,967 katika magereza mbalimbali nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani