Msamaha kwa wafungwa uwekewe mfumo mpya
Katika kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwishoni mwa wiki, Rais Jakaya Kikwete alitoa msamaha kwa wafungwa 3,967 katika magereza mbalimbali nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV06 Nov
Dk. Kikwete atoa msamaha kwa wafungwa 4,160
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyemaliza muda wake Jakaya Mrisho Kikwete, ametoa msamaha kwa wafungwa 4,160, ambapo kati yao wafungwa 867 wataachiliwa huru na wengine 3,293 watapunguziwa vifungo vyao na kubaki gerezani wakitumikia sehemu ya kifugo kilichobaki.
Rais huyo wa serikali ya awamu ya nne, ametoa msamaha huo katika kuaga na kukabidhi madaraka ya serikali yake kwa serikali ya awamu ya tano, inayoongozwa na Rais Dr. John Pombe Magufuli.
Kabla ya kukabidhi madaraka, Rais...
10 years ago
Habarileo21 Dec
Wafungwa wanawake Kingulwira waomba msamaha kwa Kikwete
WAFUNGWA katika Gereza Kuu la Wanawake la Kingulwira, Morogoro wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuwapa msamaha katika gereza hilo kwa sababu wamejirekebisha.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C3a4yKmwRAE/XrPF64teG4I/AAAAAAALpWk/97uIbJQwWLkvAwXuwFZzxvuE-RRMu0P-gCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
THBUB: Msamaha kwa Wafungwa ni hatua muhimu kuzuia maambukizi ya Korona Magerezani
![](https://1.bp.blogspot.com/-C3a4yKmwRAE/XrPF64teG4I/AAAAAAALpWk/97uIbJQwWLkvAwXuwFZzxvuE-RRMu0P-gCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa Mheshimiwa Rais, Dkt. John Pombe Magufuli wa kuwasamehe wafungwa 3973 ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na Virusi vya Korona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni muhimu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cxEkbzwy32Q/XrPIDCLKNJI/AAAAAAACKMA/Zjfj3ori--I5MWF74eINExbTy8SB_oFpQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200507_113251.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI APONGEZWA KUTOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA, INASAIDIA KUZUIA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cxEkbzwy32Q/XrPIDCLKNJI/AAAAAAACKMA/Zjfj3ori--I5MWF74eINExbTy8SB_oFpQCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200507_113251.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa kuwasamehe wafungwa 3973 uliofanywa na Rais Dk. John Magufuli (pichani) ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
JK awanyima msamaha wafungwa wa ujangili
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g0j9bEdvA98/XqRE7dHRs7I/AAAAAAALoLo/-3sC46dNhR8GoqshCOVd4c7H5pY6exXGACLcBGAsYHQ/s72-c/magu%252Bpic.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s72-c/Sisti-10June2015.jpg)
150 KORTINI KWA KUJIANDIKISHA MARA MBILI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA KWA MFUMO MPYA BVR
![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s400/Sisti-10June2015.jpg)
Aidha, imeeleza kuwa kata 130 zimeongezeka kutokana na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kufanya mabadiliko ya kiutawala katika kata, vijiji,vitongoji na Mitaa hivyo kulazimu NEC kuhairisha kwa wiki moja uandikishaji wa daftari uliokuwa ukianza jana kwa baadhi...
10 years ago
Mtanzania25 Mar
TMA yaanzisha mfumo mpya kwa marubani
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeanzisha mfumo ambao unawawezesha marubani kupata taarifa za hali ya hewa kwa njia ya mtandao.
Hayo yalisemwa juzi, katika maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani, ambapo Meneja Masoko na Mahusiano wa TMA, Hellen Msemo, alisema kuwa kila shirika la ndege litapatiwa namba ya siri ya kuingia kwenye mfumo huo.
“Kila shirika la ndege litachukua taarifa kwa ajili ya safari zake na hii ni miongoni mwa jitihada za mamlaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nWKESexIkS8/Xl0LrWBBFkI/AAAAAAALgaI/UgyU3uqT6QIbTldINDABsJdSBFvvmvwuACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
NBAA YAANZISHA MFUMO MPYA WA USAJILI KWA NJIA YA MTANDAO(MEMS)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nWKESexIkS8/Xl0LrWBBFkI/AAAAAAALgaI/UgyU3uqT6QIbTldINDABsJdSBFvvmvwuACLcBGAsYHQ/s320/0.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bodi hiyo imeeleza kuwa mfumo huo unatoa fursa kwa wanafunzi na wanachama kupata huduma mbalimbali zinazotolewa na Bodi ikiwa ni pamoja na kufanya usajili, kufanya malipo mbalimbali, kuhudhuria semina, kununua vitabu na kadhalika kupitia...