Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Kikwete atoa msamaha kwa wafungwa 4,160

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyemaliza muda wake Jakaya Mrisho Kikwete, ametoa msamaha kwa wafungwa 4,160, ambapo kati yao wafungwa 867 wataachiliwa huru na wengine 3,293 watapunguziwa vifungo vyao na kubaki gerezani wakitumikia sehemu ya kifugo kilichobaki.

Rais huyo wa serikali ya awamu ya nne, ametoa msamaha huo katika kuaga na kukabidhi madaraka ya serikali yake kwa serikali ya awamu ya tano, inayoongozwa na Rais Dr. John Pombe Magufuli.

Kabla ya kukabidhi madaraka, Rais...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wafungwa wanawake Kingulwira waomba msamaha kwa Kikwete

PinguWAFUNGWA katika Gereza Kuu la Wanawake la Kingulwira, Morogoro wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuwapa msamaha katika gereza hilo kwa sababu wamejirekebisha.

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete asamehe wafungwa 4,160

RAIS mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,160 katika kuaga na kukabidhi madaraka ya Serikali kwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli.

 

11 years ago

Mwananchi

Msamaha kwa wafungwa uwekewe mfumo mpya

Katika kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwishoni mwa wiki, Rais Jakaya Kikwete alitoa msamaha kwa wafungwa 3,967 katika magereza mbalimbali nchini.

 

5 years ago

Michuzi

THBUB: Msamaha kwa Wafungwa ni hatua muhimu kuzuia maambukizi ya Korona Magerezani

Na Mbaraka Kambona,

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa Mheshimiwa Rais, Dkt. John Pombe Magufuli wa kuwasamehe wafungwa 3973 ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na Virusi vya Korona.

Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.

Alieleza kuwa msamaha huo ni muhimu...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI APONGEZWA KUTOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA, INASAIDIA KUZUIA MAAMBUKIZI YA CORONA

Na Mbaraka Kambona, Dodoma
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa kuwasamehe wafungwa 3973 uliofanywa na Rais Dk. John Magufuli (pichani) ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi  ya  maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona.

Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona. 

Alieleza   kuwa msamaha huo ni...

 

11 years ago

Mwananchi

JK awanyima msamaha wafungwa wa ujangili

>Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 3,967 katika magereza mbalimbali nchini lakini msahama huo unawaweka kando waliofungwa kwa makosa ya ujangili.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS WA NIGERIA ATOA AGIZO LA KUACHILIWA HURU WAFUNGWA KWA SABABU YA CORONA

Rais wa Nigeria atoa agizo la kuachiliwa huru wafungwa kwa sababu ya virusi vya Corona Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria amemtaka Jaji Mkuu wa nchi hiyo awaachilie huru wafungwa ambao wamekuwa wakisubiri kusikilizwa kesi zao kwa kwa muda wa miezi sita sasa au zaidi, kama moja ya njia ya kukabiliana na ueneaji wa virusi vya Corona katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.Rais wa Nigeria amenukuliwa akisema kuwa, asilimia 42 ya wafungwa 74,000 wamekuwa wakisubiri kusikilizwa kesi zao, hivyo amemtaka Ibrahim Tanko Muhammad Jaji Mkuu wa nchi hiyo awaachilie huru wafungwa hao na...

 

10 years ago

StarTV

Rais Kikwete atoa vitabu 201 kwa JWTZ.

Na Mwandishi Maalum 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Jakaya Kikwete amekabidhi vitabu 201 kwa Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania JWTZ Jenerali Devis Mwamunyange ili vitumike katika mafunzo kwenye vyuo na shule za Jeshi.

 

Rais Kikwete alikabidhi vitabu hivyo Ikulu jijini Dar es Salaam

 

bad credit installment loans in missouri

Vitabu hivyo vinafanya jumla ya vitabu vilivyotolewa na Rais Kikwete kwa JWTZ kufikia 2752

 

Pamoja na kukabidhi vitabu hivyo Rais Kikwete, amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani