Kikwete asamehe wafungwa 4,160
RAIS mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,160 katika kuaga na kukabidhi madaraka ya Serikali kwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Dec
Kikwete asamehe wafungwa 4,969
RAIS Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,969 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru.
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Rais Kikwete asamehe wafungwa 4000
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,129 ambako 400 wataachiwa huru na wengine 3,729 watapunguziwa vifungo vyao.
Alitoa msamaha huo katika kuadhimisha miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kwa kutumia madaraka yake aliyopewa chini ya Ibara ya 45(1)(d) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na kusainiwa na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, wafungwa waliopunguziwa...
11 years ago
Habarileo10 Dec
Rais Kikwete asamehe wafungwa 1,475
KATIKA kuadhimisha miaka 52 ya Uhuru, Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 1,475.
9 years ago
StarTV06 Nov
Dk. Kikwete atoa msamaha kwa wafungwa 4,160
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyemaliza muda wake Jakaya Mrisho Kikwete, ametoa msamaha kwa wafungwa 4,160, ambapo kati yao wafungwa 867 wataachiliwa huru na wengine 3,293 watapunguziwa vifungo vyao na kubaki gerezani wakitumikia sehemu ya kifugo kilichobaki.
Rais huyo wa serikali ya awamu ya nne, ametoa msamaha huo katika kuaga na kukabidhi madaraka ya serikali yake kwa serikali ya awamu ya tano, inayoongozwa na Rais Dr. John Pombe Magufuli.
Kabla ya kukabidhi madaraka, Rais...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
JK asamehe wafungwa 3,967
RAIS Jakaya Kikwete, ametoa msamaha kwa wafungwa 3,967. Ametoa msamaha huo kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya ibara ya 45(1) ya Katiba ya Muungano ya sasa. Katika taarifa iliyotolewa jijini...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-idF4fdPSgrY/XqQ4c34yELI/AAAAAAAC364/21aOfsA5ivYl1v74haERP9iy5MQKMsJGQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.gif)
10 years ago
Habarileo21 Dec
Wafungwa wanawake Kingulwira waomba msamaha kwa Kikwete
WAFUNGWA katika Gereza Kuu la Wanawake la Kingulwira, Morogoro wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuwapa msamaha katika gereza hilo kwa sababu wamejirekebisha.
10 years ago
Habarileo20 Feb
160 Tacceo kuangalia uandikishaji BVR
MTANDAO wa Asasi za Kiraia wa Kuangalia Chaguzi Tanzania (Tacceo) unatarajia kutuma waangalizi 160 katika wilaya zote nchini ambao wataangalia uandikishaji wa wapiga kura kwa kutumia Mfumo mpya wa Teknolojia ya Alama (Biometric Voters Registration- BVR).
10 years ago
BBCSwahili28 Dec
Ndege ya AirAsia yapotea na abiria 160