Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK asamehe wafungwa 3,967

RAIS Jakaya Kikwete, ametoa msamaha kwa wafungwa 3,967. Ametoa msamaha huo kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya ibara ya 45(1) ya Katiba ya Muungano ya sasa. Katika taarifa iliyotolewa jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kikwete asamehe wafungwa 4,160

RAIS mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,160 katika kuaga na kukabidhi madaraka ya Serikali kwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete asamehe wafungwa 4,969

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,969 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru.

 

11 years ago

Habarileo

Rais Kikwete asamehe wafungwa 1,475

Rais Jakaya KikweteKATIKA kuadhimisha miaka 52 ya Uhuru, Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 1,475.

 

10 years ago

Mtanzania

Rais Kikwete asamehe wafungwa 4000

Pg 2Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,129 ambako 400 wataachiwa huru na wengine 3,729 watapunguziwa vifungo vyao.
Alitoa msamaha huo katika kuadhimisha miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kwa kutumia madaraka yake aliyopewa chini ya Ibara ya 45(1)(d) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na kusainiwa na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, wafungwa waliopunguziwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani