RAIS MAGUFULI ASAMEHE WAFUNGWA 3973 NA KUWATAKIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-idF4fdPSgrY/XqQ4c34yELI/AAAAAAAC364/21aOfsA5ivYl1v74haERP9iy5MQKMsJGQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.gif)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Dec
Rais Kikwete asamehe wafungwa 1,475
KATIKA kuadhimisha miaka 52 ya Uhuru, Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 1,475.
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Rais Kikwete asamehe wafungwa 4000
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,129 ambako 400 wataachiwa huru na wengine 3,729 watapunguziwa vifungo vyao.
Alitoa msamaha huo katika kuadhimisha miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kwa kutumia madaraka yake aliyopewa chini ya Ibara ya 45(1)(d) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na kusainiwa na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, wafungwa waliopunguziwa...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
JK asamehe wafungwa 3,967
RAIS Jakaya Kikwete, ametoa msamaha kwa wafungwa 3,967. Ametoa msamaha huo kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya ibara ya 45(1) ya Katiba ya Muungano ya sasa. Katika taarifa iliyotolewa jijini...
10 years ago
Habarileo10 Dec
Kikwete asamehe wafungwa 4,969
RAIS Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,969 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru.
9 years ago
Habarileo06 Nov
Kikwete asamehe wafungwa 4,160
RAIS mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,160 katika kuaga na kukabidhi madaraka ya Serikali kwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-AdtcxNRKtkg/XqujR67PQjI/AAAAAAAC4TM/O0Si7vUkVQsQRN7AYD9dVF0h3wdmNVR5ACLcBGAsYHQ/s72-c/pic%2Buchaguzi.gif)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cxEkbzwy32Q/XrPIDCLKNJI/AAAAAAACKMA/Zjfj3ori--I5MWF74eINExbTy8SB_oFpQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200507_113251.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI APONGEZWA KUTOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA, INASAIDIA KUZUIA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cxEkbzwy32Q/XrPIDCLKNJI/AAAAAAACKMA/Zjfj3ori--I5MWF74eINExbTy8SB_oFpQCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200507_113251.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa kuwasamehe wafungwa 3973 uliofanywa na Rais Dk. John Magufuli (pichani) ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g0j9bEdvA98/XqRE7dHRs7I/AAAAAAALoLo/-3sC46dNhR8GoqshCOVd4c7H5pY6exXGACLcBGAsYHQ/s72-c/magu%252Bpic.jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Apr
DPP awarudisha kizimbani ‘Wafungwa wa Magufuli’