DPP awarudisha kizimbani ‘Wafungwa wa Magufuli’
Wafungwa wawili raia China waliokuwa wakitumikia kifungo cha miaka 20 kwa kosa la uvuvi haramu katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania (Exclussive Economic Zone- EEZ), maarufu kama wafungwa wa Samaki wa Magufuli, wamefunguliwa upya mashtaka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Rais Magufuli awapa majukumu CAG, DPP
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
RAIS Dk. John Magufuli kwa nyakati tofauti jana, alikutana na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Biswalo Mganga na kuwapa majukumu yatakayokwenda na kasi ya Hapa Kazi Tu.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na Kaimu Mkurungenzi wa Mawasiliano Ikulu, Greson Msigwa, ilisema Rais Dk. Magufuli amemwagiza Profesa Assad kuona njia sahihi ambayo itasaidia kupunguza gharama za...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-idF4fdPSgrY/XqQ4c34yELI/AAAAAAAC364/21aOfsA5ivYl1v74haERP9iy5MQKMsJGQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.gif)
9 years ago
CCM BlogRAIS DK. MAGUFULI AKUTANA NA WAGENI MBALIMBALI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO, NI MUFT, GAC, BULEMBO NA DPP.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cxEkbzwy32Q/XrPIDCLKNJI/AAAAAAACKMA/Zjfj3ori--I5MWF74eINExbTy8SB_oFpQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200507_113251.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI APONGEZWA KUTOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA, INASAIDIA KUZUIA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cxEkbzwy32Q/XrPIDCLKNJI/AAAAAAACKMA/Zjfj3ori--I5MWF74eINExbTy8SB_oFpQCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200507_113251.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa kuwasamehe wafungwa 3973 uliofanywa na Rais Dk. John Magufuli (pichani) ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g0j9bEdvA98/XqRE7dHRs7I/AAAAAAALoLo/-3sC46dNhR8GoqshCOVd4c7H5pY6exXGACLcBGAsYHQ/s72-c/magu%252Bpic.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68Xgg72yWYSDXzuwm5Qw4Z6dqPt8f53ll9RZSNTlATqo0b6RP-IyAISXT0LpCOb4sP4Gohv949M5ZLhTGAMq19VyMG/11.jpg)
Loga awarudisha Boban, Kisiga Simba
9 years ago
Global Publishers27 Dec
Mtoto awarudisha Amber Rose na Wiz Khalifa
Wiz Khalifa akiwa na aliyekuwa mpenzi wake, Amber Rose.
INAWEZEKANA! Staa wa Hip Hop, Wiz Khalifa pamoja na aliyekuwa mpenzi wake, Amber Rose hivi karibuni walijikuta wakila Sikukuu ya Krismasi kwa pamoja huku sababu kubwa ya kurudiana ikitajwa kuwa ni mtoto wao, Sebastian (4).
Chanzo kilicho karibu na mastaa hao, kinaanika ubuyu kuwa, wawili hao tangu watengane Septemba 2014 kila mmoja amekuwa akila bata kivyake lakini uthibitisho tosha ulijidhihirisha hivi karibuni baada ya Amber kuweka...
11 years ago
Mwananchi23 Jun
BRAZIL 2014: Peter Odemwingie awarudisha Bosnia kwao
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YbjtuK7enMw/XvN_KxusUqI/AAAAAAALvSc/M18pcbWzZyA2Q4MWFfQzBMgCG_nDwe9bQCLcBGAsYHQ/s72-c/kHERI-jAMES.jpg)
KHERI JAMES AWARUDISHA KWENYE MAJUKUMU YAO VIJANA SITA WALIOKUA WAMESIMAMISHWA UONGOZI UVCCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-YbjtuK7enMw/XvN_KxusUqI/AAAAAAALvSc/M18pcbWzZyA2Q4MWFfQzBMgCG_nDwe9bQCLcBGAsYHQ/s400/kHERI-jAMES.jpg)
Kheri amesema iamuzi huo umefikiwa baada ya Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi (ZAECA) iliyopewa jukumu la kuchunguza tuhuma dhidi yao kuonyesha kuwa vijana hao hawakuhusika katika tuhuma hizo.
Akizungumza na leo jijini Dodoma,...