Rais Kikwete atoa vitabu 201 kwa JWTZ.
Na Mwandishi Maalum
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Jakaya Kikwete amekabidhi vitabu 201 kwa Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania JWTZ Jenerali Devis Mwamunyange ili vitumike katika mafunzo kwenye vyuo na shule za Jeshi.
Rais Kikwete alikabidhi vitabu hivyo Ikulu jijini Dar es Salaam
bad credit installment loans in missouri
Vitabu hivyo vinafanya jumla ya vitabu vilivyotolewa na Rais Kikwete kwa JWTZ kufikia 2752
Pamoja na kukabidhi vitabu hivyo Rais Kikwete, amesema...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2468Z1IOr9w/VK_yJzPVoHI/AAAAAAAG8R4/-8h3x35UKUU/s72-c/jb%2B(1).jpg)
RAIS KIKWETE AKABIDHI VITABU 201 KWA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI, AAGANA NA MABALOZI WA TANZANIA NCHINI CANADA NA RWANDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2468Z1IOr9w/VK_yJzPVoHI/AAAAAAAG8R4/-8h3x35UKUU/s1600/jb%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E4LBR5D46jQ/VK_yKYgy1NI/AAAAAAAG8R8/yLVR964snzY/s1600/jb%2B(2).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANANIA,JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISalamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli zimeanza kumiminika nchini, za kwanza zikiwa zimetumwa na Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Saharawi Mheshimiwa Mohammed Abdelaziz.
Katika salamu zake kwa Rais Mteule Magufuli, Rais wa Rwanda Mheshimiwa Kagame amesema: “Kufuatia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tdKD-4P-V10/VUDfq6rX43I/AAAAAAAHUBQ/QKu0pA_ufmU/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Rais Kikwete atoa heshima za Mwisho kwa Brigedia Jenerali Hashim Mbita
![](http://2.bp.blogspot.com/-tdKD-4P-V10/VUDfq6rX43I/AAAAAAAHUBQ/QKu0pA_ufmU/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NzuEqHKXgZc/VUDftii9sCI/AAAAAAAHUBY/fq5FPSRFWNk/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-l9fZFQ3mSCQ/VcC09mNOq1I/AAAAAAAHt3g/0DHlroN-TJ0/s72-c/images.jpg)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBILAMBI KWA FAMILIA YA MZEE PETER KISUMO
![](http://3.bp.blogspot.com/-l9fZFQ3mSCQ/VcC09mNOq1I/AAAAAAAHt3g/0DHlroN-TJ0/s320/images.jpg)
“Nimepokeakwamasikitikomakubwanahuzuninyingitaarifayakifo cha Mzee Peter Kisumoambayenimejulishwaaliagaduniajana,...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LNDUFtMlU5M/VeBjDGOfCUI/AAAAAAAH0pM/N2xZ7RBxhRY/s72-c/images.jpg)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA ZA WALIOPATWA NA AJALI YA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-LNDUFtMlU5M/VeBjDGOfCUI/AAAAAAAH0pM/N2xZ7RBxhRY/s200/images.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Said Meck Sadik kufuatia vifo vya watu tisa wa familia moja ya Bwana Masoud Matal vilivyotokea alfajiri ya tarehe 27 Agosti, 2015 kwa ajali ya moto.
Wanafamilia hao wakiwemo watoto watano walipoteza maisha baada ya nyumba yao iliyoko...
9 years ago
VijimamboRAIS DK. JAKAYA KIKWETE ATOA ZAWADI YA IDD EL HAJI KWA MAKUNDI MBALIMBALI
10 years ago
VijimamboRais Kikwete atoa Msaada kwa Timu ya Kilimani Sports Club mjini Dodoma
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiikabidhi timu ya soka ya Kilimani Sports Club jezi na mipira katika ikulu ndogo ya mjini Dodoma leo asubuhi.Rais Kikwete alitoa msaada kwa timu hiyo baada ya kuwakuta vijana hao wakifanya mazoezi bila zana bora katika uwanja wa mpira ulioko eneo la Kilimani karibu na ikulu wakati Rais alipokuwa akifanya mazoezi ya kutembea katika eneo hilo.Wakiongea mara baada ya kupokea msaada huo vijana hao walimshukuru Rais Kwa moyo wake wa upendo na nia yake ya kukuza...
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Rais Kikwete atoa pole nyumbani kwa marehemu Jaji Mstaafu Lewis Makame
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame Masaki jijini Dar es salaam aliyefariki katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Agosti, 2014.
Mama Salma Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji...