JK awanyima msamaha wafungwa wa ujangili
>Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 3,967 katika magereza mbalimbali nchini lakini msahama huo unawaweka kando waliofungwa kwa makosa ya ujangili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV06 Nov
Dk. Kikwete atoa msamaha kwa wafungwa 4,160
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyemaliza muda wake Jakaya Mrisho Kikwete, ametoa msamaha kwa wafungwa 4,160, ambapo kati yao wafungwa 867 wataachiliwa huru na wengine 3,293 watapunguziwa vifungo vyao na kubaki gerezani wakitumikia sehemu ya kifugo kilichobaki.
Rais huyo wa serikali ya awamu ya nne, ametoa msamaha huo katika kuaga na kukabidhi madaraka ya serikali yake kwa serikali ya awamu ya tano, inayoongozwa na Rais Dr. John Pombe Magufuli.
Kabla ya kukabidhi madaraka, Rais...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Msamaha kwa wafungwa uwekewe mfumo mpya
10 years ago
Habarileo21 Dec
Wafungwa wanawake Kingulwira waomba msamaha kwa Kikwete
WAFUNGWA katika Gereza Kuu la Wanawake la Kingulwira, Morogoro wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuwapa msamaha katika gereza hilo kwa sababu wamejirekebisha.
5 years ago
Michuzi
THBUB: Msamaha kwa Wafungwa ni hatua muhimu kuzuia maambukizi ya Korona Magerezani

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa Mheshimiwa Rais, Dkt. John Pombe Magufuli wa kuwasamehe wafungwa 3973 ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na Virusi vya Korona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni muhimu...
5 years ago
CCM Blog
RAIS DK. MAGUFULI APONGEZWA KUTOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA, INASAIDIA KUZUIA MAAMBUKIZI YA CORONA

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa kuwasamehe wafungwa 3973 uliofanywa na Rais Dk. John Magufuli (pichani) ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni...
11 years ago
Mwananchi02 Nov
Wafungwa wafanya ujangili magerezani
5 years ago
Michuzi
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Magufuli awanyima likizo makandarasi
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amewataka wahandisi wote nchini kutokwenda likizo kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka hadi miundombinu iliyoharibiwa na mvua itakapokamilika kukarabatiwa. Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...