Wafungwa wafanya ujangili magerezani
Kwa wiki ya tatu mfululizo magazeti ya Mwananchi Jumamosi na Jumapili yamekuwa yakikuletea Ripoti Maalumu kuhusu baadhi ya watu wanaoendesha uhalifu wakiwa gerezani hasa ujangili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
“Haturuhusu wafungwa kufanya tendo la ndoa magerezani”
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imeendeleza msimamo wake kuwa Tanzania bado haina sheria ya kuwaruhusu wafungwa kukutana kifaragha na waume au wake zao. Hii ni mara ya tatu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C3a4yKmwRAE/XrPF64teG4I/AAAAAAALpWk/97uIbJQwWLkvAwXuwFZzxvuE-RRMu0P-gCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
THBUB: Msamaha kwa Wafungwa ni hatua muhimu kuzuia maambukizi ya Korona Magerezani
![](https://1.bp.blogspot.com/-C3a4yKmwRAE/XrPF64teG4I/AAAAAAALpWk/97uIbJQwWLkvAwXuwFZzxvuE-RRMu0P-gCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa Mheshimiwa Rais, Dkt. John Pombe Magufuli wa kuwasamehe wafungwa 3973 ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na Virusi vya Korona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni muhimu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rEmJHJu0TdI/U2Dhx9-AQFI/AAAAAAAFeIA/eZHQ-CupYAc/s72-c/unnamed.jpg)
TANZANIA YAWASILISHA STADI JUU YA JINSI YA KUDHIBITI IDADI YA WAFUNGWA MAGEREZANI LEO JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-rEmJHJu0TdI/U2Dhx9-AQFI/AAAAAAAFeIA/eZHQ-CupYAc/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi18 Mar
WAFUNGWA GEREZA KUU UKONGA, DAR ES SALAAM MAHIRI KWA USHONAJI WA NGUO ZA AINA MBALIMBALI MAGEREZANI
Wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam wakikata vitambaa vya nguo kabla ya kuanza kushona nguo za Wafungwa Magerezani. Wafungwa hao hujifunza Stadi mbalimbali za ujuzi ambazo huwasaidia kujipatia kipato mara tu wanapomaliza kifungo chao.
Wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam wakiendelea na ushonaji wa nguo za aina mbalimbali kama wanavyoonekana katika picha. Jeshi la Magereza nchini linatekeleza ipasavyo jukumu lake la Urekebishaji kwa kuwapatia ujuzi wa fani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qHLsR_KNJdY/XtI1mFhsWKI/AAAAAAALsEY/RmfNQ8Yh7OQi_EGjc7CPAdTuiVskSFAdQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-2AAA-1-768x576.jpg)
SIMBACHAWENE: SERIKALI IPO KATIKA MCHAKATO KUHAKIKISHA MAHABUSU NCHINI WANAFANYA KAZI MAGEREZANI KAMA WAFUNGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHLsR_KNJdY/XtI1mFhsWKI/AAAAAAALsEY/RmfNQ8Yh7OQi_EGjc7CPAdTuiVskSFAdQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-2AAA-1-768x576.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-8ZygurdmYJ4/VQiFxJ9709I/AAAAAAADc10/CZniigaRuX0/s72-c/image.jpeg)
WAFUNGWA GEREZA KUU UKONGA, DAR ESALAAM MAHIRI KWA USHONAJI WA NGUO ZA AINA MBALIMBALI MAGEREZANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8ZygurdmYJ4/VQiFxJ9709I/AAAAAAADc10/CZniigaRuX0/s1600/image.jpeg)
11 years ago
Mwananchi28 Apr
JK awanyima msamaha wafungwa wa ujangili
>Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 3,967 katika magereza mbalimbali nchini lakini msahama huo unawaweka kando waliofungwa kwa makosa ya ujangili.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7zRtwDA0Shs/VQ_hgtHGS6I/AAAAAAAHMWE/Ls4U0PVIKi4/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania