Viusi vya corona: Runinga ya Citizen nchini Kenya yasikitika kumuita rais Magufuli 'mkaidi'
Ripoti hiyo ya runinga ya Citizen iliopeperushwa hewani tarehe 22 mwezi Machi , bwana Magufuli alinukuliwa akisema kwamba mlipuko wa virusi vya Covid-19 haufai kutumiwa kama sababu ya kuathiri uchumi wa Tanzania.
BBCSwahili
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania