Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UAMINIFU, UADILIFU: CHAGUA JOHN MAGUFULI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WATAOPEWA FEDHA ZA ELIMU BURE WATAKIWA KUWA NA UADILIFU NA UAMINIFU –SHIRIKISHO

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), limesema  kuwa waliopewa wajibu wa kusimamia fedha za elimu  bure wanatakiwa uaminifu na uadilifu kutimiza suala hilo.
Akizungumza na waandishi habari  Mwenyekiti wa Shirikisho hilo, Zainabu Abdallah amesema kuwa kwa wale ambao watakiuka matumizi ya fedha za elimu bure, wamemtaka Rais John Pembe Magufuli  kutokuwa na huruma kwa yeyote atakayefanya urasimu usio na tija kukwamisha utekelezaji...

 

10 years ago

Michuzi

MDAU JOHN CHACHA AMPONGEZA DKT JOHN MAGUFULI KWA USHINDI WA KUIPEPERESHA BENDERA YA CCM KUWANIA URAIS 2015

Mgombea uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi -CCM Dkt John Magufuli akipongezwa na mwandishi mwandamizi wa kituo cha ITV na Radio one John Chacha siku chache kabla ya Dkt Magufuli kuchukuwa fomu ya kutia nia kugombea nafasi ya Urais kupitia chama cha CCM,ambapo aliagana na mwandishi huyo akiwa njiani kuelekea mikoa ya Geita,Mwanza na Kagera.Pichani ilikuwa ni nje ya ofisi za CCM makao makuu mjini Dodoma,John Chacha anamtakia kila lakheri na afya njema katika safari yake ya...

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli na Biblia; Uadilifu na Sheria

ULIMWENGU na Watanzania wanamuangalia Rais John Pombe Magufuli kwa macho mawili kutizama nini ata

Ahmed Rajab

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli: Uadilifu wangu hauna shaka

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema uadilifu wake ni wa kuaminika na ameamua kujitoa sadaka kwa ajili ya kutumikia Watanzania katika uhai wake. Akihutubia mkutano wa kampeni mjini Katesh wilayani Babati mkoani Manyara, jana, Magufuli alisema anachotaka ni kufanya kazi na si siasa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tano za Magufuli, Uadilifu, Uchapakazi, Ufuatiliaji, Utekelezaji na Utumishi Uliotukuka

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kumchagua ili awe rais wa tano ajaye wa Tanzania huku akiahidi kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi na hivyo kuliletea Taifa maendeleo kwa muda wote atakaokuwepo madarakani.

Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...

 

9 years ago

Michuzi

TANO ZA MAGUFULI . UADILIFU .UCHAPAKAZI .UFUATILIAJI .UTEKELEZAJI NA UTUMISHI ULIOTUKUKA

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kumchagua ili awe rais wa tano ajaye wa Tanzania huku akiahidi kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi na hivyo kuliletea Taifa maendeleo kwa muda wote atakaokuwepo madarakani.

Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...

 

10 years ago

IPPmedia

Dr John Magufuli


IPPmedia
Dr John Magufuli
IPPmedia
Vice President Dr Mohamed Gharib Bilal is also eyeing the presidency along with Works minister Dr John Magufuli. CCM Headquarters confirmed this in Dodoma yesterday, saying both are expected to pick up nomination forms today. Meanwhile, Transport ...
Sitta, Amina, Mwandosya join Ikulu raceDaily News

all 2

 

9 years ago

IPPmedia

President John Magufuli


IPPmedia
President John Magufuli
IPPmedia
Stories depicting the manner in which President John Magufuli has started serving the nation seem to be spreading like wildfire across the globe. From Kenya to Nigeria and Australia to Sweden, Dr Magufuli's name has gone viral, ostensibly for the ...
Lessons from a spider web: Why Obama wishes he was Magufuli right nowMail & Guardian Africa
Stop it, Tanzania! Stop provoking ZimNew Zimbabwe.com

all 5

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani