Ndanda yaanza kujinoa Mtwara
BAADA ya kutoka sare ya kufungana bao 1-1 na Azam FC, kikosi cha Ndanda FC, kimeanza kujinoa kwenye Uwanja wa Chuo cha Ualimu kilichopo Mikindani Manispaa ya Mtwara kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania bara ambao utaanza Septemba 12.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NKVuDLwPXdE/VOXTgmYpTUI/AAAAAAAHEi4/h5ogjHxCH3E/s72-c/coastal.jpg)
COASTAL UNION WAIFUATA NDANDA MTWARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NKVuDLwPXdE/VOXTgmYpTUI/AAAAAAAHEi4/h5ogjHxCH3E/s1600/coastal.jpg)
Coastal Union ambayo mechi yao iliyopita dhidi ya Mbeya City iliyochezwa kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani haikupata matokeo mazuri sana baada ya kulazimishwa sare hivo itaingia kwenye mechi hiyo mithili ya mbogo aliyejeruhiwa msituni.
Akizungumzia maandalizi ya kuelekea mchezo huo,Kocha Mkuu wa Coastal...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Sgqckxh3eBQ/VBRten4g07I/AAAAAAABIts/F2bPvNlEilE/s72-c/IMG-20140913-WA0032-2.jpg)
NSSF YADHAMINI PAMBANO LA SIMBA NA NDANDA FC MKOANI MTWARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Sgqckxh3eBQ/VBRten4g07I/AAAAAAABIts/F2bPvNlEilE/s1600/IMG-20140913-WA0032-2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XBLcGL8QXUk/VBRxjDL_htI/AAAAAAABIuQ/7cfxoSODHwk/s1600/IMG-20140913-WA0014-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nY3zScmEEkY/VBSVhvCwAWI/AAAAAAABIus/bNF4CbtixRE/s1600/IMG-20140913-WA0029.jpg)
Kwa habari kamili na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PpxOhq6_WDI/UvsXfdr8SSI/AAAAAAAFMdw/-1izxQdMW7Y/s72-c/mkalapa+Masasi+(3).jpg)
Barabara ya Ndanda kwenda Masasi mkoani Mtwara ni balaa tupu
Na Abdulaziz Video,Masasi.
Barabara ya Ndanda kwenda Masasi eneo la Kijiji cha Mkalapa,limekuwa ni majanga matupu kama inavyoonekana katika picha hapo chini,kwani barabara hiyo imeharibika vibara kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha matika maeneo mbali mbali hapa nchini.
Abiria wanaofanya safari katika maeneo hayo,inapaswa wajiandae kwa kupoteza masaa kadhaa katika eneo hilo,kwani mambo hayajakaa sawa.
Hivyo wakala wa Barabara Mkoa wa Mtwara (TANROADS),wanapaswa kulishughulikia swala...
Barabara ya Ndanda kwenda Masasi eneo la Kijiji cha Mkalapa,limekuwa ni majanga matupu kama inavyoonekana katika picha hapo chini,kwani barabara hiyo imeharibika vibara kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha matika maeneo mbali mbali hapa nchini.
Abiria wanaofanya safari katika maeneo hayo,inapaswa wajiandae kwa kupoteza masaa kadhaa katika eneo hilo,kwani mambo hayajakaa sawa.
Hivyo wakala wa Barabara Mkoa wa Mtwara (TANROADS),wanapaswa kulishughulikia swala...
5 years ago
Michuzi22 Feb
MITAMBO YA DKT. BASHIRU YAANZA KULIPUKA MTWARA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/unnamed-7.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally akiendelea na ziara yake ya siku tatu Mkoani Mtwara, Mbunge wa Tandahimba Ndg. Katan Ahmed Katan amejivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM hapo jana.
Mbunge huyo wa Tandahimba, amejiunga na CCM jana tarehe 21 Februari, 2020 katika mkutano wa ndani uliokuwa ukiendelea katika jimbo la Nanyamba Mtwara vijijini, ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu kwa niaba ya wanachama wote wa CCM.
Katibu Mkuu akifafanua kabla ya kumpokea Mbunge huyo,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3Ya9Oz7YINA/VdXdhvQ8KsI/AAAAAAAHym8/THXT4kUpxHE/s72-c/No.1.jpg)
TPDC YAANZA KUZALISHA GESI YA KWANZA HUKO MNAZI BAY, MTWARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Ya9Oz7YINA/VdXdhvQ8KsI/AAAAAAAHym8/THXT4kUpxHE/s400/No.1.jpg)
Zoezi hili ni muendelezo wa ukamilishaji wa mradi mkubwa wa Serikali wa kuzalisha gesi asilia kwa madhumuni ya kuzalisha umeme hapa nchini.
Akiongea wakati wa zoezi hilo, Mkurugenzi Mtendaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Wauguzi kujinoa Marekani
CHAMA cha Wauguzi Tanzania (Tana), kimesaini mkataba wa makubaliano na Shirika la Colom Foundation Inc kuendesha mafunzo ya uuguzi yatakayofanyika nchini Marekani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Mwadui sasa kujinoa Afrika Kusini
Kocha wa Mwadui, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ ndiye pekee ambaye msimu huu atakipeleka kikosi chake nje ya nchi kwa ajili ya kujifua kujiandaa na msimu mpya wa ligi.
11 years ago
GPLJUMUIA YA WAZAZI CCM KINONDONI WAENDA MOROGORO KUJINOA
 Baadhi ya viongozi wa Jumuia ya Wazazi Kata za wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam, wakiwa kwenye Ofisi ya CCM wilaya ya Kinondoni wakati wakisubiri kuanza safari ya kwenda Morogoro leo kwa ajili ya semina yao ya mafunzo itakayoanza kesho.  Wakisubiru usafiri ofisi ya CCM wilaya ya Kinondoni.…
11 years ago
MichuziWAREMBO WANAOSHINDANIA MISS TABATA 2014 WAENDLEA KUJINOA KWENYE UKUMBI WA DAR WEST PARK
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania