JK AZINDUA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA MRADI WA NYUMBA ZA NHC MKOANI MTWARA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s72-c/_MG_4455.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu akizungumza jambo na Rais Dkt Jakaya Kikwete mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30za makazi zinazojengwa na NHC Shangani mkoani Mtwara zenye thamani ya shilingi bilioni 4.4,Kulia ni Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais mteule wa chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli wakiondoka eneo la tukio mapema leo mchana
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu akizungumza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s72-c/_MG_4455.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUZA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA KUZINDUA MRADI WA NYUMBA ZA NHC MKOANI MTWARA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s640/_MG_4455.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UB0CWUvfB3w/VcdCU8rjRNI/AAAAAAAC9gA/QHJXiLVZqwg/s640/_MG_4500.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFHOM6OmXlk/VcdCVQS3PQI/AAAAAAAC9f4/i0uoVlAShlQ/s640/_MG_4504.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1XDUUh63qqQ/VcdCT3f2DOI/AAAAAAAC9fo/FBVxLhmydYI/s72-c/_MG_4441.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA KUWEKA JIWE LA MSINGI WA NYUMBA ZA MAKAZI NHC MKOANI MTWARA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-1XDUUh63qqQ/VcdCT3f2DOI/AAAAAAAC9fo/FBVxLhmydYI/s640/_MG_4441.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s640/_MG_4455.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFHOM6OmXlk/VcdCVQS3PQI/AAAAAAAC9f4/i0uoVlAShlQ/s640/_MG_4504.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-32kmGJ9oX54/U05tHkor3yI/AAAAAAAFbRo/clIZ83hj3K4/s72-c/18.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AZINDUA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA 60 ZA NHC WILAYANI MLELE MKOANI KATAVI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-32kmGJ9oX54/U05tHkor3yI/AAAAAAAFbRo/clIZ83hj3K4/s1600/18.jpg)
======== ====== =====
KATIBU Mkuu wa CCM amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kwa kasi ya ujenzi miradi ya nyumba za makazi na biashara kwenye miji mbalimbali hasa makao makuu ya wilaya mpya.
Kinana aliyasema hayo katika mji wa Inyonga...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vMn2MlHJJ1c/VccYAEfS4mI/AAAAAAAHvbI/GYxhEDIbxas/s72-c/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
JK AZINDUA KIVUKO CHA MV MAFANIKIO MKOANI MTWARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-vMn2MlHJJ1c/VccYAEfS4mI/AAAAAAAHvbI/GYxhEDIbxas/s640/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-J7Hc3lR6vYg/VccYG8JJW5I/AAAAAAAHvbQ/zWZu_xB3H74/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uBNImG7IBkQ/VccYN8U5LYI/AAAAAAAHvbY/yLi6erPsAqM/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vMn2MlHJJ1c/VccYAEfS4mI/AAAAAAAHvbI/GYxhEDIbxas/s72-c/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
JK AZINDUA KIVUKO CHA MV MAFANIKIO MKOANI MTWARA MCHANA HUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-vMn2MlHJJ1c/VccYAEfS4mI/AAAAAAAHvbI/GYxhEDIbxas/s640/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-J7Hc3lR6vYg/VccYG8JJW5I/AAAAAAAHvbQ/zWZu_xB3H74/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uBNImG7IBkQ/VccYN8U5LYI/AAAAAAAHvbY/yLi6erPsAqM/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
10 years ago
MichuziKivuko kipya cha Msangamkuu chawasili Mkoani Mtwara
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
10 years ago
Raia Tanzania10 Aug
Kikwete azindua kivuko Mtwara
RAIS Jakaya Kikwete, amezindua kivuko cha MV. Mafanikio, kilichonunuliwa kwa gharama ya Sh. bilioni 3.3.
Kivuko hicho kinachomaliza kero ya muda mrefu ya wananchi wa Mtwara mjini na Kata ya Msanga Mkuu, kimenunuliwa kwa fedha za serikali na kina uwezo wa kubeba tani 50.
Akizindua kivuko hicho jana mjini hapa, Rais Kikwete alisema uzinduzi huo ni tunda la utendaji bora wa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli.
“Tuliahidi na ahadi imetimia. Haya ni matunda mazuri ya utendaji mahiri...
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Rais Kikwete azindua mradi wa nyumba za gharama nafuu Mkuzo, Songea leo
Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwasili katika eneo la mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na Shirika la Nyumba (NHC) na kupokelewa na Ndg. David Shambwe Kaimu Mkurungenzi Mkuu NHC na Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wakati alipokagua mradi huo uliopo katika wilaya ya Songea mkoani Ruvuma akiwa katika ziara yake ya kikazi leo, Rais Dr. Jakaya Kikwete anaendelea na ziara mkoani humo leo. (PICHA ZOTE KWA HISANI YA KITENGO CHA MAWASILIANO NA HUDUMA KWA JAMII CHA NHC).
Akiwasalimia...