MBUNGE WA VITI MAALUM CUF, CLARA MWATUKA AFARIKI KWA AJALI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/mwatuka.jpg)
Clara Mwatuka enzi za uhai wake. Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Clara Mwatuka, amefariki dunia leo Jumapili jioni baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kupinduka lilipokuwa linashuka eneo la Makonde Plateu kuelekea Ndanda, Masasi mkoani Mtwara. Gari alilopata nalo ajali marehemu Mwatuka. Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake, ambaye inasemekana ni mwanaye. Maiti ya marehemu Mwatuka...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 Aug
Mbunge wa Viti maalumu CUF, Mama Clara Diana Mwatuka afariki Dunia kwa ajali!
![](http://www.bungemaalum.go.tz/files/members/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu CUF mama Mwatuka amefariki dunia baada ya gari lake kupinduka lilipokuwa linashuka Makonde Plateu kuja Ndanda.Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo chumba cha maiti Hospitali ya Rufaa, Ndanda Regional Referral hospital.
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xft1/v/t1.0-9/p160x160/11811391_497680753741077_5479242452651876403_n.jpg?oh=0fdaff60cadd649648564a2e6898cf6f&oe=5684018D&__gda__=1448296863_1785c8e337c16723925f4198373e4a9a)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t34.0-12/s851x315/11855310_497675887074897_780490772_n.jpg?oh=f840d175f4aa0d77657654d482ac32cd&oe=55C96074)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xYlyc6tsACA/Vce8Q6vjfMI/AAAAAAAHvjg/koTL6LXCn9I/s72-c/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ......: Mbunge wa Viti maalumu CUF, MH. Clara Mwatuka Afariki Dunia ajalini jioni ya leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-xYlyc6tsACA/Vce8Q6vjfMI/AAAAAAAHvjg/koTL6LXCn9I/s640/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo Hospitali ya Rufaa ya Ndanda, Mkoani Mtwara.
Globu ya Jamii inaungana na Familia ya Marehemu katika kipindi hiki kigumu, na tunamuombea kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Obajdy2LniA/VciSXHmcKGI/AAAAAAAHvtE/PV8CZwnnNzs/s72-c/ww.png)
Taarifa rasmi ya kifo cha aliyekuwa mbunge viti maalum (CUF) Mhe. Clara Diana Mwatuka
![](http://3.bp.blogspot.com/-Obajdy2LniA/VciSXHmcKGI/AAAAAAAHvtE/PV8CZwnnNzs/s640/ww.png)
Mipango ya Mazishi inaendelea kufanywa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia ya Marehemu, ambapo mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho siku ya Jumanne tarehe 11 Agosti, 2014 saa 9:00 Alasiri,...
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Mbunge Clara Mwatuka kuzikwa leo Masasi
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dR7VlBJbj-k/Vbe22VaktvI/AAAAAAAB3ZU/63aG-w-RXqA/s72-c/11816211_949736651758974_3107443785771653231_o.jpg)
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya CUF ajiunga na ACT wazalendo
![](http://3.bp.blogspot.com/-dR7VlBJbj-k/Vbe22VaktvI/AAAAAAAB3ZU/63aG-w-RXqA/s640/11816211_949736651758974_3107443785771653231_o.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-DD2Yx7HdqR0/VdTPWu5EfuI/AAAAAAAB5gI/Qk3W9dXSpvk/s72-c/mbg.jpg)
Aliyekuwa Mbunge wa viti maalum CCM Lindi ajiunga na CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-DD2Yx7HdqR0/VdTPWu5EfuI/AAAAAAAB5gI/Qk3W9dXSpvk/s640/mbg.jpg)
Na Khamis Haji OMKR
Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi kutoka mkoa wa Lindi, Riziki Said Rurida amekihama chama hicho na kuhamia Chama cha Wananchi CUF.
Rurida alitangaza kukihama chama hicho na kukabidhiwa kadi ya CUF na Katibu Mkuu wa chama hicho, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad katika mkutano wa hadhara wa CUF...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4V2egEL8fQeAJC0mQiHTIc2Nk0Q6qEhrcTJVcVe91x1DiGnzRTEoKlH6ilH6nS1apiE7nBQPNqpLBL9cZ5DKRZ0/mariammfaki.jpg?width=450)
TANZIA: MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA DODOMA, MARIAM MFAKI AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--I-WgyfTC4M/Va5jYKYvsvI/AAAAAAAHq44/gDdQFM9pZ6E/s72-c/AjIAv7YkabUHMTga0gOJVX6s1z2Uv7PusctR1jFGWcSa.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ......: Mbunge wa Viti Maalum (CCM) mkoani Dodoma afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/--I-WgyfTC4M/Va5jYKYvsvI/AAAAAAAHq44/gDdQFM9pZ6E/s640/AjIAv7YkabUHMTga0gOJVX6s1z2Uv7PusctR1jFGWcSa.jpg)
Mungu aiweke Roho yake mahala pema Peponi
-Amin.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W5YYGmodFMc/U4DnAc8YLUI/AAAAAAACiBs/AP8dRzJqzxM/s72-c/Dr,+Mwanjelwa+magoti+(1).jpg)
MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA DKT.MARRY MWANJELWA ATEMBELEA NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WILAYANI KYELA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W5YYGmodFMc/U4DnAc8YLUI/AAAAAAACiBs/AP8dRzJqzxM/s1600/Dr,+Mwanjelwa+magoti+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DdQ_-7NWH9A/U4Dm__AuMwI/AAAAAAACiBo/MkWxvfd7gb0/s1600/Dr.+Mwanjelwa+kabidhi.jpg)