TANZIA: MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA DODOMA, MARIAM MFAKI AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4V2egEL8fQeAJC0mQiHTIc2Nk0Q6qEhrcTJVcVe91x1DiGnzRTEoKlH6ilH6nS1apiE7nBQPNqpLBL9cZ5DKRZ0/mariammfaki.jpg?width=450)
MBUNGE wa Viti Maalum, Mariam Mfaki (CCM), amefariki dunia leo mchana katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma alipokuwa amelazwa. Marehemu amekuwa mbunge kwa vipindi vitatu, 2010 - 2015, 2005 - 2010 na 2000 - 2005. Kwa mujibu wa mtoto wa marehemu, Mohammed Mfaki amesema mama yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani tangu mwaka 2012. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema peponi. Amen. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ziGBoqDKuzk/Va5fdR_ePFI/AAAAAAABSY0/Bf3G0Xdjf8o/s72-c/1acd5779db140263f5c65c0b30a53847.jpg)
UPDATES: MBUNGE WA VITI MAALUM MH. MARIAM SALUM MFAKI AMEFARIKI DUNIA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ziGBoqDKuzk/Va5fdR_ePFI/AAAAAAABSY0/Bf3G0Xdjf8o/s640/1acd5779db140263f5c65c0b30a53847.jpg)
Mbunge wa Viti maalum CCM kwa Mkoa wa Dodoma Mhe. Mariam Salum Mfaki , Amefariki Dunia Mchana wa leo tarehe 21/07/2015. Hadi mauti yanamkuta alikuwa amelazwa katika Hospital ya Mkoa Dodoma (General Hospital)
Kwa mujibu wa mtoto wa marehemu Muhammed Mfaki amesema mama yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani tangu mwaka 2012.endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--I-WgyfTC4M/Va5jYKYvsvI/AAAAAAAHq44/gDdQFM9pZ6E/s72-c/AjIAv7YkabUHMTga0gOJVX6s1z2Uv7PusctR1jFGWcSa.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ......: Mbunge wa Viti Maalum (CCM) mkoani Dodoma afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/--I-WgyfTC4M/Va5jYKYvsvI/AAAAAAAHq44/gDdQFM9pZ6E/s640/AjIAv7YkabUHMTga0gOJVX6s1z2Uv7PusctR1jFGWcSa.jpg)
Mungu aiweke Roho yake mahala pema Peponi
-Amin.
10 years ago
Michuzi22 Jul
RATIBA YA MAZISHI YA ALIYEKUWA MBUNGE VITI MAALUMU MAREHEMU MARIAM SALUM MFAKI
Ratiba ya Mazishi itaanza saa Tisa Alasiri kwa Mwili wa Marehemu kuondolewa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kuelekea...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KVKgSvGgv30/XmjHXWj0JlI/AAAAAAALikE/rz-72KPl9r87UWHK1_YuXUSuIIq9tXbCwCLcBGAsYHQ/s72-c/dcf02ddb-6573-4799-a215-bf25f73e798c.jpg)
MBUNGE WA VITI MAALUM MARIAM DITOPILE KUWAKILISHA VIJANA JIJINI LONDON,KUKUTANA NA WABUNGE MBALIMBALI JIJINI HUMO
Pia mafanikio ya Mambo ya Lishe huku Uingereza akiwa mdau mkubwa kupiga Dfid na kuomba waendelee kuunga mkono juhudi za serikali kwani mambo yanayofanyika ni makubwa mno.Pia kwa kipekee jana...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Hi7VnOYfhLM/VbufJouVf8I/AAAAAAAHs9U/eD4dYREAHts/s72-c/unnamed.jpg)
TANZIA- MKUU WA MAGEREZA MKOA WA SHINYANGA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hi7VnOYfhLM/VbufJouVf8I/AAAAAAAHs9U/eD4dYREAHts/s640/unnamed.jpg)
Marehemu SACP Aneth Laurent enzi za uhai wake
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, John Casmir Minja anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Magereza Mkoa wa Shinyanga, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza - SACP Aneth Laurent kilichotokea jana Julai 30, 2015 katika Hospitali ya Rufaa Bugando Jijini Mwanza.Kamishna Jenerali wa Magereza anatoa pole kwa Watumishi wote wa Jeshi la Magereza nchini, familia na wale wote...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kombani1.jpg?width=650)
TANZIA: MBUNGE WA ULANGA MASHARIKI, CELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/mwatuka.jpg)
MBUNGE WA VITI MAALUM CUF, CLARA MWATUKA AFARIKI KWA AJALI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bfQ6C0f-VWY/XrjaMMEDU3I/AAAAAAALptU/T0xL7I3jWrQWpBOOSQQ_NDY-hOz_V9rFgCLcBGAsYHQ/s72-c/09ea8331-a60f-4d91-8a99-b850db8ead02-768x985.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gX5VlTgRrDs/VPRsEEI8zCI/AAAAAAAAIhg/AxclXwC5W6o/s72-c/Kingaru%2Bkulia%2Bakiwa%2Bna%2Bmama%2Byake.jpg)
TANZIA: Mama mzazi wa katibu wa mbunge Al Shaimar Kweigyir afariki dunia leo Kibaha, Pwani
![](http://4.bp.blogspot.com/-gX5VlTgRrDs/VPRsEEI8zCI/AAAAAAAAIhg/AxclXwC5W6o/s1600/Kingaru%2Bkulia%2Bakiwa%2Bna%2Bmama%2Byake.jpg)