MBUNGE WA VITI MAALUM MARIAM DITOPILE KUWAKILISHA VIJANA JIJINI LONDON,KUKUTANA NA WABUNGE MBALIMBALI JIJINI HUMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-KVKgSvGgv30/XmjHXWj0JlI/AAAAAAALikE/rz-72KPl9r87UWHK1_YuXUSuIIq9tXbCwCLcBGAsYHQ/s72-c/dcf02ddb-6573-4799-a215-bf25f73e798c.jpg)
Mbunge wa Viti maalum Anaewakilisha Vijana jana Mariam Ditopile yupo jijini London Uingereza kwa ajili ya kukutana na Wabunge mbalimbali wa Nchi hiyo kuwaeleza hatua kubwa zilizopigwa na serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dr Magufuli kwenye Sekta ya Afya kwa kutumia pesa za Ndani za walipa kodi.
Pia mafanikio ya Mambo ya Lishe huku Uingereza akiwa mdau mkubwa kupiga Dfid na kuomba waendelee kuunga mkono juhudi za serikali kwani mambo yanayofanyika ni makubwa mno.Pia kwa kipekee jana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ziGBoqDKuzk/Va5fdR_ePFI/AAAAAAABSY0/Bf3G0Xdjf8o/s72-c/1acd5779db140263f5c65c0b30a53847.jpg)
UPDATES: MBUNGE WA VITI MAALUM MH. MARIAM SALUM MFAKI AMEFARIKI DUNIA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ziGBoqDKuzk/Va5fdR_ePFI/AAAAAAABSY0/Bf3G0Xdjf8o/s640/1acd5779db140263f5c65c0b30a53847.jpg)
Mbunge wa Viti maalum CCM kwa Mkoa wa Dodoma Mhe. Mariam Salum Mfaki , Amefariki Dunia Mchana wa leo tarehe 21/07/2015. Hadi mauti yanamkuta alikuwa amelazwa katika Hospital ya Mkoa Dodoma (General Hospital)
Kwa mujibu wa mtoto wa marehemu Muhammed Mfaki amesema mama yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani tangu mwaka 2012.endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4V2egEL8fQeAJC0mQiHTIc2Nk0Q6qEhrcTJVcVe91x1DiGnzRTEoKlH6ilH6nS1apiE7nBQPNqpLBL9cZ5DKRZ0/mariammfaki.jpg?width=450)
TANZIA: MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA DODOMA, MARIAM MFAKI AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi22 Jul
RATIBA YA MAZISHI YA ALIYEKUWA MBUNGE VITI MAALUMU MAREHEMU MARIAM SALUM MFAKI
Ratiba ya Mazishi itaanza saa Tisa Alasiri kwa Mwili wa Marehemu kuondolewa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kuelekea...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5xsWOD1y7Y4/VoKf98eRqWI/AAAAAAAIPPI/N6PnHB07io0/s72-c/1c3ebb06-ce07-49b4-ba12-adac108b3533.jpg)
Ibada maalum ya kumuombea Dkt. Rais John Pombe Joseph Magufuli yafanyika jijini London
![](http://2.bp.blogspot.com/-5xsWOD1y7Y4/VoKf98eRqWI/AAAAAAAIPPI/N6PnHB07io0/s640/1c3ebb06-ce07-49b4-ba12-adac108b3533.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LDdsxYglmTo/VoKf-lSSRuI/AAAAAAAIPPM/UzaXAgauK4k/s640/52344bfa-79bf-4c2c-bcd1-62d672551848.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g32HsUAyi7A/VoKgHqGUogI/AAAAAAAIPPs/idRj1rN3bJY/s640/fa16f618-cdcb-4b34-b480-3235f9e6a7cd.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhuCsXUAp9U/VoKgRd0MkwI/AAAAAAAIPP4/_SFVJArNzP0/s640/36b95cdb-22ab-4bff-8633-9c1209814e95.jpg)
9 years ago
GPL![](https://4.bp.blogspot.com/-csSApYSCG_E/Vj0AJxi9phI/AAAAAAAAMgw/CfQCRZ7Ew2E/s640/3.jpg?width=650)
9 years ago
Michuzi07 Nov
10 years ago
VijimamboDK. MALECELA AKIWA KATIKA STUDIO ZA MWAMBAO JIJINI TANGA, YUPO JIJINI HUMO KUTAFUTA WADHAMINI KATIKA SAFARI YAKE YA KUOMBA KUWANIA URAIS KWA TIKETI YA CCM
10 years ago
MichuziWarsha ya Maafisa Vijana,waratibu wa ukimwi na wadau mbalimbali yafikia siku ya tatu jijini Mwanza
10 years ago
Michuzi27 Jul
PHIDESIA MBUNGE VITI MAALUM AWATAKA WANANCHI WASIRUBUNIWE
![SAM_4394](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/z8hKhhPCN-BgSdqzi5IJc1skUcySqhDuHZ9Dbab3OZ6q39DBCFj9wz9oYHessdMnGt1nPc3wGWwQR-eXnqkW9ELCBwaWYln1f9eaaYMM1eN-Mok=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4394.jpg)