PHIDESIA MBUNGE VITI MAALUM AWATAKA WANANCHI WASIRUBUNIWE
Mbunge viti maalum Wazazi Phidesia Mwakitalima aliyeshinda katika kura za maoni za kutafuta wabunge wa viti maalum mkoa wa Arusha kupitia jumuiya ya wazazi wa chama cha Mapinduzi ( CCM ).akizungumza katika mkutano wa chama cha mapinduzi jana mtaa wa kati (CCM MKOA)wakati wagombea 12 wa chama hicho walipofanya ziara ya kutembelea kila kata na kujinadi kwa wananchi pamoja na wanachama wa chama hicho ambapo aliwataka wananchi wasirubuniwe na kama walipewa rushwa na mgombea yeyote...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Jul
Phidesia Mwakilima aibuka kidedea uchaguzi wa Ubunge wa viti maalum kupitia tiketi ya Jumuiya ya Wazazi CCM
![http://2.bp.blogspot.com/-RCy23A0BZXU/VXGrU4TGNzI/AAAAAAAAPCU/JU7jwGuH2Mw/s1600/11390351_860026487378599_5734199586013076232_n.jpg](http://2.bp.blogspot.com/-RCy23A0BZXU/VXGrU4TGNzI/AAAAAAAAPCU/JU7jwGuH2Mw/s640/11390351_860026487378599_5734199586013076232_n.jpg)
Mwanadada Phidesia Mwakilima.
Na Woinde Shizza, wa libeneke la kaskazini blog
Mkurugenzi wa kampuni ya Phide Entertainment ambaye pia ni Meneja masoko wa kituo cha redio Triple A ya Arusha, Phidesia Mwakilima, ameibuka kidedea kwenye uchaguzi wa mbunge viti maalum kupitia Jumuiya ya wazazi (UWT) Chama cha Mapinduzi mkoa wa Arusha.
Phidesia Mwakilima, amepata kura 18 na kuwashinda, Aimbora Nnko, aliyepata kura 6, Angela Mwanri kura 4 na Anna John kura 2 ,uchaguzi huo umefanyika ukumbi wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-DD2Yx7HdqR0/VdTPWu5EfuI/AAAAAAAB5gI/Qk3W9dXSpvk/s72-c/mbg.jpg)
Aliyekuwa Mbunge wa viti maalum CCM Lindi ajiunga na CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-DD2Yx7HdqR0/VdTPWu5EfuI/AAAAAAAB5gI/Qk3W9dXSpvk/s640/mbg.jpg)
Na Khamis Haji OMKR
Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi kutoka mkoa wa Lindi, Riziki Said Rurida amekihama chama hicho na kuhamia Chama cha Wananchi CUF.
Rurida alitangaza kukihama chama hicho na kukabidhiwa kadi ya CUF na Katibu Mkuu wa chama hicho, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad katika mkutano wa hadhara wa CUF...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-699jfDCUBBE/VbYIwy52kFI/AAAAAAAHr6g/0DkQmDh53ds/s72-c/_MG_0796.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia Nyerere arejea CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-699jfDCUBBE/VbYIwy52kFI/AAAAAAAHr6g/0DkQmDh53ds/s640/_MG_0796.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yPcRx1z4dII/VbYIw8b6ntI/AAAAAAAHr6k/QCRxoExuk4E/s640/_MG_0801.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oAR0Z0YBe_E/VbYIw38GDBI/AAAAAAAHr6o/TqjO_jQ15bU/s640/_MG_0806.jpg)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/mwatuka.jpg)
MBUNGE WA VITI MAALUM CUF, CLARA MWATUKA AFARIKI KWA AJALI
9 years ago
Bongo Movies13 Aug
Irene Uwoya Apitishwa na CCM Kuwa Mbunge Viti Maalum Kupitia Tabora
Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Irene Uwoya apitishwa na Halmashauri Kuu ya CCM (NEC )kuwa mbunge viti maalum vijana mkoa wa Tabora.
Wengine waliopitishwa ni namba 1. Halima Bulembo 2. Zainab Katimba 3. Mariam Ditopile 4. Mary Kangoye 5. Kizigo 6. Irene Uwoya.
Hongera sana Uwoya.
Cloudsfm.com
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4V2egEL8fQeAJC0mQiHTIc2Nk0Q6qEhrcTJVcVe91x1DiGnzRTEoKlH6ilH6nS1apiE7nBQPNqpLBL9cZ5DKRZ0/mariammfaki.jpg?width=450)
TANZIA: MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA DODOMA, MARIAM MFAKI AFARIKI DUNIA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dR7VlBJbj-k/Vbe22VaktvI/AAAAAAAB3ZU/63aG-w-RXqA/s72-c/11816211_949736651758974_3107443785771653231_o.jpg)
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya CUF ajiunga na ACT wazalendo
![](http://3.bp.blogspot.com/-dR7VlBJbj-k/Vbe22VaktvI/AAAAAAAB3ZU/63aG-w-RXqA/s640/11816211_949736651758974_3107443785771653231_o.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--I-WgyfTC4M/Va5jYKYvsvI/AAAAAAAHq44/gDdQFM9pZ6E/s72-c/AjIAv7YkabUHMTga0gOJVX6s1z2Uv7PusctR1jFGWcSa.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ......: Mbunge wa Viti Maalum (CCM) mkoani Dodoma afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/--I-WgyfTC4M/Va5jYKYvsvI/AAAAAAAHq44/gDdQFM9pZ6E/s640/AjIAv7YkabUHMTga0gOJVX6s1z2Uv7PusctR1jFGWcSa.jpg)
Mungu aiweke Roho yake mahala pema Peponi
-Amin.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ziGBoqDKuzk/Va5fdR_ePFI/AAAAAAABSY0/Bf3G0Xdjf8o/s72-c/1acd5779db140263f5c65c0b30a53847.jpg)
UPDATES: MBUNGE WA VITI MAALUM MH. MARIAM SALUM MFAKI AMEFARIKI DUNIA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ziGBoqDKuzk/Va5fdR_ePFI/AAAAAAABSY0/Bf3G0Xdjf8o/s640/1acd5779db140263f5c65c0b30a53847.jpg)
Mbunge wa Viti maalum CCM kwa Mkoa wa Dodoma Mhe. Mariam Salum Mfaki , Amefariki Dunia Mchana wa leo tarehe 21/07/2015. Hadi mauti yanamkuta alikuwa amelazwa katika Hospital ya Mkoa Dodoma (General Hospital)
Kwa mujibu wa mtoto wa marehemu Muhammed Mfaki amesema mama yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani tangu mwaka 2012.endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi