Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAUTI YA MKURUGENZI WA NEC JUU YA WABUNGE VITI MAALUM

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Hatujachakachua majina ya wabunge viti maalumu -NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema majina ya wabunge wa Viti Maalumu iliyoyapitisha hayajachakachuliwa bali yamepitishwa kulingana na orodha ya vyama vya siasa vilivyowasilisha majina hayo.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE WA VITI MAALUM MARIAM DITOPILE KUWAKILISHA VIJANA JIJINI LONDON,KUKUTANA NA WABUNGE MBALIMBALI JIJINI HUMO

Mbunge wa Viti maalum Anaewakilisha Vijana jana Mariam Ditopile yupo jijini London Uingereza kwa ajili ya kukutana na Wabunge mbalimbali wa Nchi hiyo kuwaeleza hatua kubwa zilizopigwa na serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dr Magufuli kwenye Sekta ya Afya kwa kutumia pesa za Ndani za walipa kodi.
Pia mafanikio ya Mambo ya Lishe huku Uingereza akiwa mdau mkubwa kupiga Dfid na kuomba waendelee kuunga mkono juhudi za serikali kwani mambo yanayofanyika ni makubwa mno.Pia kwa kipekee jana...

 

9 years ago

Mwananchi

Wabunge viti maalumu badilikeni

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa mgawanyo wa idadi ya wabunge wa viti maalumu kwa vyama vya CCM ambacho kimepata viti 64, kikifuatiwa na Chadema chenye viti 36 na CUF viti 10.

 

9 years ago

Mtanzania

Irene Uwoya aula viti maalum

f7d8b2e2ec0fec94d7385f158c725b9dNA BAKARI KIMWANGA, DODOMA

MSANII pekee wa Bongo Movie, Irene Uwoya, ameibuka kidedea kwenye uteuzi wa wagombea ubunge wa viti maalumu uliokamilishwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) jana.

Uwoya alipata nafasi hiyo baada ya jina la mtoto wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam, ambaye pia ni mgombea wa CCM katika jimbo la Ubungo, Dk Didas Masaburi, Juliana Masaburi kukatwa.

Mtoto huyo wa Masaburi, alishinda kura za maoni kupitia kundi la Vijana akiwakilisha Mkoa wa Mara lakini baada ya kukatwa nafasi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Bi. Lowassa akataa ubunge wa viti maalum

Mke wa aliyekuwa mgombea wa urais kupitia chama cha CHADEMA nchini Tanzania Edward Lowassa amekataa ombi la kamati ya chama hicho kumpatia ubunge wa viti maalum.

 

9 years ago

Mwananchi

Viti maalum vyaivuruga Chadema mikoani

Wakati vyama vitatu vikiwa katika mchuano wa nafasi tatu zaidi za viti maalum, Chadema imekumbwa na malalamiko sehemu nyingi baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza majina ya walioteuliwa.

 

9 years ago

Michuzi

VITI MAALUM 110 VYATANGAZWA LEO

Mwenyekiti  wa Tume ya Taifa ya Uchanguzi  Jaji Msitafu Damian Lubuva  akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  juu ya majina ya wabunge wa Viti Maalum yatapatikana katika Vyama husika kwa mujibu wa Orodha iliyowasilishwa Tume na kila Chama ila Tume (NEC)iweze kufanya Uteuzi, kikao hicho kimefanyika leo jijini Dar es Salaam, Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Sheria Emmanuel Kavishe.Waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti  wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),  Jaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani