Viti maalum vyaivuruga Chadema mikoani
Wakati vyama vitatu vikiwa katika mchuano wa nafasi tatu zaidi za viti maalum, Chadema imekumbwa na malalamiko sehemu nyingi baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza majina ya walioteuliwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
CCM yanyakua viti 64 maalum,Chadema 36
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-699jfDCUBBE/VbYIwy52kFI/AAAAAAAHr6g/0DkQmDh53ds/s72-c/_MG_0796.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia Nyerere arejea CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-699jfDCUBBE/VbYIwy52kFI/AAAAAAAHr6g/0DkQmDh53ds/s640/_MG_0796.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yPcRx1z4dII/VbYIw8b6ntI/AAAAAAAHr6k/QCRxoExuk4E/s640/_MG_0801.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oAR0Z0YBe_E/VbYIw38GDBI/AAAAAAAHr6o/TqjO_jQ15bU/s640/_MG_0806.jpg)
9 years ago
GPL![](https://4.bp.blogspot.com/-csSApYSCG_E/Vj0AJxi9phI/AAAAAAAAMgw/CfQCRZ7Ew2E/s640/3.jpg?width=650)
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
Bi. Lowassa akataa ubunge wa viti maalum
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Irene Uwoya aula viti maalum
NA BAKARI KIMWANGA, DODOMA
MSANII pekee wa Bongo Movie, Irene Uwoya, ameibuka kidedea kwenye uteuzi wa wagombea ubunge wa viti maalumu uliokamilishwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) jana.
Uwoya alipata nafasi hiyo baada ya jina la mtoto wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam, ambaye pia ni mgombea wa CCM katika jimbo la Ubungo, Dk Didas Masaburi, Juliana Masaburi kukatwa.
Mtoto huyo wa Masaburi, alishinda kura za maoni kupitia kundi la Vijana akiwakilisha Mkoa wa Mara lakini baada ya kukatwa nafasi...
9 years ago
MichuziVITI MAALUM 110 VYATANGAZWA LEO
9 years ago
GPL10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Tm_0ddg_uRc/Va8RoJQTliI/AAAAAAAD0SU/-0Tqef2d6aA/s72-c/11179944_969235879781234_1836633054611665698_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7q5aeiddirY/Va03H2CegpI/AAAAAAAAfaE/FvIum-xVc-Y/s72-c/PM%2B1%2Bcopy.jpg)
JOSEPHINE MGAZA AGOMBEA VITI MAALUM TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7q5aeiddirY/Va03H2CegpI/AAAAAAAAfaE/FvIum-xVc-Y/s640/PM%2B1%2Bcopy.jpg)
DHAMIRA YANGU
1. Kuwaunganisha wanawake wote Wa mkoa Wa tanga
2. Kujenga jumuiya imara ya UWT. 3. Kusaidia na kuboresha maisha ya wanawake Wa makundi mbalimbali
4. Kuwa mtetezi na mwakilishi Wa wanawake katika masuala ya kijamii na kiuchumi.
5. Kusaidia uanzishwaji Wa miradi ya kiuchumi ili kupambana na umasikini.
6. Nitakuwa mtumishi wenu na sio kiongozi. Nichague Mimi nikawatumikie kwa manufaa ya wanawake...