Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UTEUZI WA MADIWANI WANAWAKE WA VITI MAALUM

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mgawanyo na uuteuzi wa Madiwani Wanawake viti maalum Halmashauri zote Tanzania Bara, 2015!

Nec

 

MAJINA YA MADIWANI WANAWAKE VITI MAALUM TANZANIA BARA 2015

 

10 years ago

Vijimambo

UWT YAANZA VIKAO VYA UTEUZI WA WAGOMBEA UBUNGE VITI MAALUM KUPITIA CCM

JUMUIYA ya Umoja wa Wanawake Tanzania iliyo chini ya Chama Cha Mapinduzi CCM, imeanza vikao vya uteuzi wa wanaogombea ubunge viti maalum huko makao makuu ya CCM Dodoma. Mkutano huo unaongozwa na mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Sophia Simba. Pichani Baadhi ya Wapambe wa Wagombea kupitia Jumuiya ya Wanawake ya Chama cha Mapinduzi (UWT) wakipita na mabango yenye picha za Wagombea wao nje ya ukumbi wa mikutano wa NEC Dodoma kabla ya kuanza mkutano wa uchaguziMwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema Mbeya walalamikia uteuzi wabunge viti maalumu

Uteuzi wa wabunge wa viti maalumu kupitia Chadema umezua taharuki mkoani hapa na Kanda ya Nyanda za Juu kwa ujumla baada ya wanachama na viongozi wa chama hicho kuanza kulalamikia wakidai umetumika upendeleo.

 

9 years ago

StarTV

BAWACHA wapinga uteuzi wa Zubeda Sakuru viti maalumu

Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo BAWACHA Mkoa wa Ruvuma wamepinga uteuzi wa Zubeda Hassan Sakuru kuwa Mbunge wa Viti Maalum mkoani humo.

Baraza hilo limemuomba Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kubatilisha uteuzi alioufanya wa mtu ambaye anatokea mkoani Tanga.

Wanachama wa BAWACHA Baraza la Wanawake wa CHADEMA Mkoa wa Ruvuma wametoa Tamko la pamoja, wapo tayari kutoka CHADEMA endapo uteuzi huo hautabatilishwa.

Wamesema Zubeda Hassan Sakuru siyo mkaazi wa Mkoa...

 

9 years ago

StarTV

NEC yatangaza idadi ya uteuzi wa viti maalumuCCM, CHADEMA, CUF

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imetangaza idadi ya jumla ya uteuzi wa wabunge wa viti maalumu kutoka vyama vya siasa vya CCM, CHADEMA na CUF. Taarifa hiyo imetolewa na Kaimu mkurugenzi wa uchaguzi Emmanuel Kawishe alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam. Kwa mujibu wa Ibara ya 66 kifungu cha kwanza b na ibara ya 78 ya katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ikisomwa kwa pamoja na kifungu cha 86 A cha sheria ya uchaguzi sura ya 343, Tume imepewa...

 

9 years ago

Mwananchi

Vyama vitano vyagawana madiwani viti maalumu

Wakati kata 56 zinasubiri kufanya uchaguzi mdogo wa madiwani, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza mgawanyo wa madiwani wa viti maalumu miongoni mwa vyama vitano vilivyofuzu vigezo vilivyowekwa.

 

9 years ago

Michuzi

NEC YATANGAZA VITI VYA MADIWANI WATEULE1393

              Mkurugenzi wa Uchaguzi wa  NEC Bw. Kailima Ramadhani                           akizugumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya  viti maalumu vya Udiwani ambavyo Madiwani wake wameteuliwa na Tume hiyo  ni viti 1393, kutoka katika Vyama vya CCM,CHADEMA,NSSR-MAGEUZI pamoja na CUF.Mkutano huo umefanyika leo jijini Dar es Salaam ,Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Huduma za Sheria wa NEC Emmanuel Kawishe.

Waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi wa  NEC Bw. Kailima...

 

9 years ago

Dewji Blog

NEC yatangaza idadi ya madiwani wa viti maalumu!

AAMkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Tume ya  Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza idadi ya madiwani wa viti maalumu pamoja na vyama wanavyotokea.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima ametaja idadi ya madiwani hao kuwa 1402 na kuwataja madiwani 1392 huku 15 wakisubiri chaguzi zimalizike katika kata zilizosalia.

Amesema katika madiwani hao CCM ni 1122, Chadema 220, CUF 49, NCCR 6 na ACT 6.

Kailima ameongeza kuwa kata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani