Chadema Mbeya walalamikia uteuzi wabunge viti maalumu
Uteuzi wa wabunge wa viti maalumu kupitia Chadema umezua taharuki mkoani hapa na Kanda ya Nyanda za Juu kwa ujumla baada ya wanachama na viongozi wa chama hicho kuanza kulalamikia wakidai umetumika upendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-oZV48cuRbek/Vj5rriF3xII/AAAAAAAAXD0/g_1e-QCt9pI/s72-c/KWANZA.jpg)
9 years ago
StarTV11 Nov
BAWACHA wapinga uteuzi wa Zubeda Sakuru viti maalumu
Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo BAWACHA Mkoa wa Ruvuma wamepinga uteuzi wa Zubeda Hassan Sakuru kuwa Mbunge wa Viti Maalum mkoani humo.
Baraza hilo limemuomba Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kubatilisha uteuzi alioufanya wa mtu ambaye anatokea mkoani Tanga.
Wanachama wa BAWACHA Baraza la Wanawake wa CHADEMA Mkoa wa Ruvuma wametoa Tamko la pamoja, wapo tayari kutoka CHADEMA endapo uteuzi huo hautabatilishwa.
Wamesema Zubeda Hassan Sakuru siyo mkaazi wa Mkoa...
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Wabunge viti maalumu badilikeni
9 years ago
Habarileo18 Nov
Hatujachakachua majina ya wabunge viti maalumu -NEC
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema majina ya wabunge wa Viti Maalumu iliyoyapitisha hayajachakachuliwa bali yamepitishwa kulingana na orodha ya vyama vya siasa vilivyowasilisha majina hayo.
10 years ago
TheCitizen20 Apr
Wabunge watano wa viti maalumu wasaka majimbo
9 years ago
StarTV07 Nov
NEC yatangaza idadi ya uteuzi wa viti maalumuCCM, CHADEMA, CUF
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imetangaza idadi ya jumla ya uteuzi wa wabunge wa viti maalumu kutoka vyama vya siasa vya CCM, CHADEMA na CUF. Taarifa hiyo imetolewa na Kaimu mkurugenzi wa uchaguzi Emmanuel Kawishe alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam. Kwa mujibu wa Ibara ya 66 kifungu cha kwanza b na ibara ya 78 ya katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ikisomwa kwa pamoja na kifungu cha 86 A cha sheria ya uchaguzi sura ya 343, Tume imepewa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Chakua nao walalamikia uteuzi wa JK
CHAMA cha Kutetea Abiria (CHAKUA) kimeungana na baadhi ya taasisi za kidini katika kupinga uteuzi uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kwa kuzibagua taasisi...
9 years ago
GPL11 years ago
Mwananchi01 Apr
‘Ubunge wa Viti Maalumu ufutwe’