Wabunge watano wa viti maalumu wasaka majimbo
Dar es Salaam. Joto la harakati za kuwania ubunge, linazidi kupanda, baada ya wabunge kadhaa wa viti maalumu wa kambi ya upinzani na chama tawala CCM, kujipanga kutetea nafasi zao za ubunge kupitia majimbo.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Wabunge viti maalumu badilikeni
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-oZV48cuRbek/Vj5rriF3xII/AAAAAAAAXD0/g_1e-QCt9pI/s72-c/KWANZA.jpg)
9 years ago
Habarileo18 Nov
Hatujachakachua majina ya wabunge viti maalumu -NEC
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema majina ya wabunge wa Viti Maalumu iliyoyapitisha hayajachakachuliwa bali yamepitishwa kulingana na orodha ya vyama vya siasa vilivyowasilisha majina hayo.
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Chadema Mbeya walalamikia uteuzi wabunge viti maalumu
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Wasaka tonge wameliharibu Bunge Maalumu
KABLA ya kuanza kwa vikao vya Bunge Maalumu, niliandika makala iliyokuwa na kichwa; ‘Siioni Katiba Mpya, nasubiri Ngumi’. Mimi si mtabiri lakini kutokana na kuanza vibaya kwa mchakato ule kamwe...
10 years ago
Habarileo21 Jun
Wasaka urais CCM wavuruga wabunge
WAKATI wasaka urais wa CCM wakizunguka nchi nzima kutafuta wadhamini ili watimize masharti ya kutimiza ndoto zao, vita ya wasaka majimbo imepamba moto kiasi cha kukimbiza wabunge na mawaziri karibu wote katika vikao vya Bunge vinavyoendelea Dodoma.
11 years ago
Mwananchi01 Apr
‘Ubunge wa Viti Maalumu ufutwe’
9 years ago
Mwananchi08 Nov
47 watoswa viti maalumu CCM, Ukawa
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
NEC yatangaza idadi ya madiwani wa viti maalumu!
Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza idadi ya madiwani wa viti maalumu pamoja na vyama wanavyotokea.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima ametaja idadi ya madiwani hao kuwa 1402 na kuwataja madiwani 1392 huku 15 wakisubiri chaguzi zimalizike katika kata zilizosalia.
Amesema katika madiwani hao CCM ni 1122, Chadema 220, CUF 49, NCCR 6 na ACT 6.
Kailima ameongeza kuwa kata...