Hatujachakachua majina ya wabunge viti maalumu -NEC
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema majina ya wabunge wa Viti Maalumu iliyoyapitisha hayajachakachuliwa bali yamepitishwa kulingana na orodha ya vyama vya siasa vilivyowasilisha majina hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-oZV48cuRbek/Vj5rriF3xII/AAAAAAAAXD0/g_1e-QCt9pI/s72-c/KWANZA.jpg)
9 years ago
GPL![](https://4.bp.blogspot.com/-csSApYSCG_E/Vj0AJxi9phI/AAAAAAAAMgw/CfQCRZ7Ew2E/s640/3.jpg?width=650)
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Wabunge viti maalumu badilikeni
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
NEC yatangaza idadi ya madiwani wa viti maalumu!
Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza idadi ya madiwani wa viti maalumu pamoja na vyama wanavyotokea.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima ametaja idadi ya madiwani hao kuwa 1402 na kuwataja madiwani 1392 huku 15 wakisubiri chaguzi zimalizike katika kata zilizosalia.
Amesema katika madiwani hao CCM ni 1122, Chadema 220, CUF 49, NCCR 6 na ACT 6.
Kailima ameongeza kuwa kata...
10 years ago
TheCitizen20 Apr
Wabunge watano wa viti maalumu wasaka majimbo
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Chadema Mbeya walalamikia uteuzi wabunge viti maalumu
9 years ago
Michuzi07 Nov
11 years ago
Mwananchi01 Apr
‘Ubunge wa Viti Maalumu ufutwe’
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DnsRK15y0jU/VcyXxClLbAI/AAAAAAAAkAY/g6GlbGh1aZk/s72-c/7.jpg)
MAJINA YA WALIOTEULIWA UBUNGE, UWAKILISHI NA VITI MAALUM CCM YATANGAZWA RASMI
![](http://2.bp.blogspot.com/-DnsRK15y0jU/VcyXxClLbAI/AAAAAAAAkAY/g6GlbGh1aZk/s640/7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5IIyyvZq_Ts/VcyXygDIl9I/AAAAAAAAkAg/0M-Ffr5nO1Y/s640/4.jpg)