Mgawanyo na uuteuzi wa Madiwani Wanawake viti maalum Halmashauri zote Tanzania Bara, 2015!
MAJINA YA MADIWANI WANAWAKE VITI MAALUM TANZANIA BARA 2015
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL9 years ago
Michuzi
9 years ago
Michuzi23 Dec
10 years ago
Michuzi.jpg)
Baraza la madiwani Wilaya ya Arusha mjini lakutana kujadili bajet ya halmashauri hiyo kwa mwaka 2015/16
.jpg)
10 years ago
Michuzi14 Aug
9 years ago
StarTV17 Dec
Mgawanyo Wa Mali, Watumishi Madiwani Ulanga na Malinyi wavutana
Mvutano mkali umezuka baina ya madiwani wa Halmashauri ya Ulanga na wale wa Halmashauri mpya ya Malinyi baada ya Madiwani wa Malinyi kutaka kupewa muongozo na kufahamishwa juu ya mgawanyo wa mali na watumishi utakaofanyika katika halmashauri hizo.
Mjadala huo umetokea mara baada ya mkurungezi wa Ulanga kusoma taarifa ya utekelezaji wa kipindi cha miezi sita ambacho madiwani hao hawakuwepo ndipo wakaanza kuhoji ni kwa nini hakuna taarifa ya mgawanyo huo hatua iliyomlazimu mkuu wa Mkoa...
11 years ago
Habarileo21 Sep
Mgawanyo wa halmashauri kuzaa majimbo ya uchaguzi
WILAYA ya Kahama huenda ikapata jimbo jipya la uchaguzi kutokana na kuonekana kuna mwingiliano na utata mkubwa katika usimamizi wa uchaguzi katika baadhi ya kata baada ya kugawanywa kwa halmashauri tatu hivi karibuni ndani ya majimbo mawili ya uchaguzi.
11 years ago
Habarileo24 Feb
Washawishi wanawake Bunge Maalum kugombea uchaguzi 2015
WAJUMBE wateule wanawake wa Bunge Maalumu wameanza kuandaliwa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu ujao kutokana na ushawishi ulioanza kufanyika.
11 years ago
Michuzi26 Jul
Wajumbe Bunge Maalum kupigania usawa na mgawanyo wa rasilimali


