Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VITI MAALUM 110 VYATANGAZWA LEO

Mwenyekiti  wa Tume ya Taifa ya Uchanguzi  Jaji Msitafu Damian Lubuva  akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  juu ya majina ya wabunge wa Viti Maalum yatapatikana katika Vyama husika kwa mujibu wa Orodha iliyowasilishwa Tume na kila Chama ila Tume (NEC)iweze kufanya Uteuzi, kikao hicho kimefanyika leo jijini Dar es Salaam, Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Sheria Emmanuel Kavishe.Waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti  wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),  Jaji...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UPDATES: MBUNGE WA VITI MAALUM MH. MARIAM SALUM MFAKI AMEFARIKI DUNIA LEO

Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Dodoma kwa tiketi ya CCM, Mariam Salum Mfaki enzi ya uhai wake.

Mbunge wa Viti maalum CCM kwa Mkoa wa Dodoma Mhe. Mariam Salum Mfaki , Amefariki Dunia Mchana wa leo tarehe 21/07/2015. Hadi mauti yanamkuta alikuwa amelazwa katika Hospital ya Mkoa Dodoma (General Hospital)


Kwa mujibu wa mtoto wa marehemu Muhammed Mfaki amesema mama yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani tangu mwaka 2012.

endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi

 

9 years ago

Mwananchi

Viti maalum vyaivuruga Chadema mikoani

Wakati vyama vitatu vikiwa katika mchuano wa nafasi tatu zaidi za viti maalum, Chadema imekumbwa na malalamiko sehemu nyingi baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza majina ya walioteuliwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

CCM yanyakua viti 64 maalum,Chadema 36

Chama cha CCM kimenyakua idadi kubwa ya viti vya wabunge maalum miongoni mwa vyama vilivyoshiriki katika uchaguzi mkuu uliopita.

 

9 years ago

Mtanzania

Irene Uwoya aula viti maalum

f7d8b2e2ec0fec94d7385f158c725b9dNA BAKARI KIMWANGA, DODOMA

MSANII pekee wa Bongo Movie, Irene Uwoya, ameibuka kidedea kwenye uteuzi wa wagombea ubunge wa viti maalumu uliokamilishwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) jana.

Uwoya alipata nafasi hiyo baada ya jina la mtoto wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam, ambaye pia ni mgombea wa CCM katika jimbo la Ubungo, Dk Didas Masaburi, Juliana Masaburi kukatwa.

Mtoto huyo wa Masaburi, alishinda kura za maoni kupitia kundi la Vijana akiwakilisha Mkoa wa Mara lakini baada ya kukatwa nafasi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Bi. Lowassa akataa ubunge wa viti maalum

Mke wa aliyekuwa mgombea wa urais kupitia chama cha CHADEMA nchini Tanzania Edward Lowassa amekataa ombi la kamati ya chama hicho kumpatia ubunge wa viti maalum.

 

10 years ago

Vijimambo

JOSEPHINE MGAZA AGOMBEA VITI MAALUM TANGA

Mgombe ubunge viti maalumu mkoa wa  Tanga. Wanawake ni nguzo ya maendeleo.

DHAMIRA YANGU
1. Kuwaunganisha wanawake wote Wa mkoa Wa tanga
2. Kujenga jumuiya imara ya UWT. 3. Kusaidia na kuboresha maisha ya wanawake Wa makundi         mbalimbali
4. Kuwa mtetezi na mwakilishi Wa wanawake katika masuala ya kijamii na kiuchumi.
5. Kusaidia uanzishwaji Wa miradi ya kiuchumi ili kupambana na umasikini.
6. Nitakuwa mtumishi wenu  na sio kiongozi. Nichague Mimi nikawatumikie kwa manufaa ya wanawake...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani