Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachina wa ‘samaki wa magufuli’ wadai meli yao

RAIA wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki kinyume cha sheria, wamewasilisha barua kwa Msajili wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, kutaka warudishiwe Meli ya Tawariq 1 na samaki waliopokewa mahakamani kama vielelezo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wachina wa 'Samaki wa Magufuli’ waachiwa

BAADA ya kusota rumande kwa miaka mitano hatimaye raia wawili wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali wameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

11 years ago

Habarileo

Wachina wa ‘samaki wa Magufuli’ kortini tena

RAIA wawili wa China walioachiwa huru wiki iliyopita katika kesi ya uvuvi haramu, wamepandishwa kizimbani tena wakikabiliwa na mashitaka ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli`

me » News Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli` BY HELLEN MWANGO 26th August 2014 Email Print Dk. John Magufuli Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru Serikali ya Tanzania kulipa meli ya uvuvi pamoja na […]

The post Serikali yaamriwa kulipa meli, `samaki wa Magufuli` appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Michuzi

News alert mahakama ya rufaa yawaachia huru wachina wawili waliofungwa kwa kosa la kuvua samaki nchini kinyume na sheria

Mahakama ya Rufani imewaachia huru wafungwa wawili raia China (pichani)  waliokuwa wakitumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la uvuvi haramu katika katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania (Exclusive Economic Zone- EEZ) Wafungwa hao , Hsu Chin Tai ambaye alikuwa nahodha wa meli ya Tawaliq 1 waliyokamatwa nayo wakifanya uvuvi huo haramu na aliyekuwa wakala wa meli hiyo, pamoja na baharia Zhao Hanquing.   Walitiwa hatiani na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Februari 23,...

 

10 years ago

Mwananchi

Wadai rasilimali walizonazo haziendani na maisha yao.

Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro mkoani hapa umesema pamoja na hifadhi ya Bonde la Ngorongoro kutajwa kama urithi wa dunia, wakazi wa wilaya hiyo bado wanaishi katika lindi la umaskini.

 

10 years ago

Mtanzania

Wachina wa Magufuli waidai Serikali trilioni 1.3/-

Waziri John Magufuli

Waziri John Magufuli

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

WACHINA wa ‘samaki wa Magufuli’ walioachiwa huru wanadai meli na samaki zilizokuwamo, ambavyo vyote vina thamani ya Dola za Marekani 3,220,000.

Mbali na kutakiwa kulipa fedha hizo, pia inatakiwa kulipa Sh trilioni 1.3 ikiwa ni gharama zote, ikiwamo meli, samaki, mawakili na mabaharia wake.

Hayo yalisemwa  Dar es Salaam jana na Wakili wa Wachina hao, Kapten Ibrahim Bendera na Wakili John Mapinduzi, walipokuwa wakizungumzia hatima ya madai...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Washitakiwa samaki wa Magufuli washinda rufaa

MAHAKAMA ya Rufaa Dar es Salaam, imetengua adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela na faini ya sh bilioni 22 iliyotolewa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Februari...

 

10 years ago

Mwananchi

Aibu ya samaki wa Magufuli iwe funzo gani kwetu

Wakati Waziri wa Mifugo na Uvuvi (wakati ule), Dk John Magufuli alipokamata meli yenye jina la Tawaliq 1 mwaka 2009, ilionekana kama vile tumepiga hatua kubwa katika kulinda rasilimali zetu.

 

9 years ago

Raia Mwema

Meli ya Rais Magufuli yang’oa nanga; tufani, nyangumi wamngojea

MASIKINI Rais, John Magufuli, anachukua uongozi wa nchi katikati ya bahari iliyochafuka kwa tufan

Joseph Mihangwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani