Tanesco kuikatia umeme Dawasco iwe funzo
Katika toleo la jana la gazeti hili, tuliandika habari kuhusu hatua ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kulikatia umeme Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), kutokana na malimbikizo ya deni Sh7 bilioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Tanesco yaikatia umeme Dawasco, yaidai Sh7 bilioni
11 years ago
Mwananchi27 Aug
Aibu ya samaki wa Magufuli iwe funzo gani kwetu
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA
11 years ago
Habarileo20 Feb
TBA yatoa kilio chake kwa Tanesco, Dawasco
MAMLAKA zinazohusika zimeombwa kupeleka umeme, maji na barabara katika maeneo ambako mradi wa ujenzi wa nyumba za watumishi wa Serikali, unatekelezwa.
10 years ago
Habarileo22 Mar
Mitambo ya umeme ‘yaitafuna’ Tanesco
MITAMBO ya kufua umeme inayotumia mafuta kwa ajili ya kufua umeme nchini, imetajwa kuwa kikwazo katika maendeleo ya Taifa, kutokana na kutumia rasilimali fedha za kigeni nyingi katika kuzalisha nishati hiyo nchini, ambayo ingeweza kutumika katika maendeleo.
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Tanesco yapandisha bei ya umeme
11 years ago
Habarileo26 Aug
Tanesco yakataa umeme wa bei ghali
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limekataa mkataba wa kununua umeme wa makaa ya mawe kwa gharama kubwa kutoka Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC), kwa kuwa utavuruga mpango wao wa kupunguza gharama ya umeme kwa wananchi.
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Mnyika kuivaa Tanesco gharama za umeme
9 years ago
Habarileo07 Dec
TPC yaidai Tanesco bilioni 2.9 za umeme
KIWANDA cha Uzalishaji Sukari (TPC) Ltd cha Moshi mkoani Kilimanjaro kinalidai Shirika la Umeme nchini (Tanesco) zaidi ya Sh bilioni 2.9 kama fedha za kuwauzia umeme unaozalishwa hapo na kuingizwa katika Gridi ya Taifa.