Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco yaikatia umeme Dawasco, yaidai Sh7 bilioni

Kibao cha operesheni kata maji kimeligeukia Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) baada ya kukatiwa umeme na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), ikidaiwa Sh7 bilioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

TPC yaidai Tanesco bilioni 2.9 za umeme

KIWANDA cha Uzalishaji Sukari (TPC) Ltd cha Moshi mkoani Kilimanjaro kinalidai Shirika la Umeme nchini (Tanesco) zaidi ya Sh bilioni 2.9 kama fedha za kuwauzia umeme unaozalishwa hapo na kuingizwa katika Gridi ya Taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanesco kuikatia umeme Dawasco iwe funzo

Katika toleo la jana la gazeti hili, tuliandika habari kuhusu hatua ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kulikatia umeme Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), kutokana na malimbikizo ya deni Sh7 bilioni.

 

10 years ago

Mwananchi

Dawasco yaidai Serikali Sh15bilioni

Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amezishambulia mamlaka za maji, Dawasco na Dawasa kwamba zimekuwa vinara wa kupoteza maji kwa asilimia 56 kutokana na uchakavu wa miundombinu yao jambo ambalo linawaathiri wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi yaidhinisha gawio la Sh7 bilioni

Kampuni ya Saruji ya Tanga (TCCL) kupita bodi yake ya wakurugenzi imeidhinisha gawio la hisa la Sh7 bilioni kwa wanahisa wake, baada ya kupata faida ya Sh32.4 bilioni kwa mwaka 2013.

 

9 years ago

Habarileo

MSD yaidai serikali bilioni 117/-

BOHARI Kuu ya Taifa ya Dawa (MSD) imesema kuwa deni ambalo wanaidai Serikali limezidi kuongezeka hadi kufikia Sh bilioni 117 Septemba 2015, hali ambayo imefanya kuzorotesha utendaji wa bohari hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Halmashauri ya Kilwa yaidai TPDC bilioni 3/-

SHIRIKA la Maendeleo la Taifa la Petroli Tanzania (TPDC) limetakiwa kuilipa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Sh bilioni tatu kutokana na kutolipa ushuru na fidia mbalimbali kwenye kiwanja wanachokimiliki.

 

11 years ago

Mwananchi

Tarime yaidai Barrick Sh1.2 bilioni

Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Mkoa wa Mara imesema inaudai mgodi wa North Mara, unaomilikiwa na African Barrick Gold, dola 800,000 za Kimarekani (sawa na Sh1.28 bilioni za Kitanzania).

 

10 years ago

Mwananchi

Auswa yaidai Serikali, wananchi Sh1.2 bilioni

Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Arusha (Auswa), inaidai Serikali na taasisi zake kiasi cha Sh1.2 bilioni.

 

10 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA





Mhandisi  Emmanuel Manirabona akiwaeleza  wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini katika kituo cha kusafirishia na kupelekea umeme kilichopo kipawa jijini Dar es Salaam wakatialipowatembeza wandishi wa  habari kuangalia wizi uliotokea wa nyaya leo

Afisa mwandamizi makao makuu ya Tanesco Leni Kiobya  akiwaeleza wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini




Akiwaonyeshea wandishiwa habari moja ya nyaya  ambazo zilizokatwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani