Dawasco yaidai Serikali Sh15bilioni
Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amezishambulia mamlaka za maji, Dawasco na Dawasa kwamba zimekuwa vinara wa kupoteza maji kwa asilimia 56 kutokana na uchakavu wa miundombinu yao jambo ambalo linawaathiri wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Tanesco yaikatia umeme Dawasco, yaidai Sh7 bilioni
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
MSD yaidai serikali mabilioni
NA EPSON LUHWAGO
UHABA mkubwa wa dawa na vifaa tiba umezikumba hospitali nyingi nchini, zikiwemo za Muhimbili na Ocean Road, kutokana na serikali kudaiwa zaidi ya sh. bilioni 90 na Bohari Kuu ya Dawa, (MSD).
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali linalofuatilia masuala ya afya nchini la SIKIKA, Irenei Kiria, alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa hali hiyo inahatarisha maisha ya wananchi kutokana na kukosa matibabu.
Irene alisema kutokana na madeni hayo, MSD imesimamisha...
9 years ago
Habarileo06 Jan
MSD yaidai serikali bilioni 117/-
BOHARI Kuu ya Taifa ya Dawa (MSD) imesema kuwa deni ambalo wanaidai Serikali limezidi kuongezeka hadi kufikia Sh bilioni 117 Septemba 2015, hali ambayo imefanya kuzorotesha utendaji wa bohari hiyo.
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Auswa yaidai Serikali, wananchi Sh1.2 bilioni
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Dawasco: Tumeikabidhi Serikali wadaiwa Sugu
10 years ago
KwanzaJamii15 Aug
Dawasco yaitia serikali hasara ya Sh. bilioni 27
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Tarime yaidai Barrick Sh1.2 bilioni
9 years ago
Habarileo07 Dec
TPC yaidai Tanesco bilioni 2.9 za umeme
KIWANDA cha Uzalishaji Sukari (TPC) Ltd cha Moshi mkoani Kilimanjaro kinalidai Shirika la Umeme nchini (Tanesco) zaidi ya Sh bilioni 2.9 kama fedha za kuwauzia umeme unaozalishwa hapo na kuingizwa katika Gridi ya Taifa.
10 years ago
Habarileo22 Nov
Halmashauri ya Kilwa yaidai TPDC bilioni 3/-
SHIRIKA la Maendeleo la Taifa la Petroli Tanzania (TPDC) limetakiwa kuilipa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Sh bilioni tatu kutokana na kutolipa ushuru na fidia mbalimbali kwenye kiwanja wanachokimiliki.