Dawasco yaitia serikali hasara ya Sh. bilioni 27
Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, amesema kampuni ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) imeisababishia serikali hasara ya Sh. bilioni 27 kutokana na kutokidhi vigezo katika kusimamia upotevu wa maji. Kutokana na hali hiyo, imeipa bodi mpya ya Dawasco muda wa mwezi mmoja ili kutatua tatizo hilo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa bodi hiyo, ambayo ni ya tatu kwa Dawasco, Profesa Maghembe alisema hasara hiyo imetokana na kampuni hiyo...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Jan
Dawasco yataja wadaiwa sugu wa Sh40 bilioni
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Tanesco yaikatia umeme Dawasco, yaidai Sh7 bilioni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X4iVnBj-D1E/Xn4efm9lCbI/AAAAAAALlUU/LoLc_AYgDYIrdvCtLJ21KQ7moVt-ST6hwCLcBGAsYHQ/s72-c/2febdcd5-8a7a-453f-8233-20f9267e3654.jpg)
Vigogo sita wa Halotel kizimbani kwa utakatishaji na kuisababishia TCRA hasara ya Sh. Bilioni 78.
MKURUGENZI wa Kampuni ya Halotel Son Nguyen (46), na vigogo wengine watano wa Viettel Tanzania wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka 10 yakiwemo ya kuisababishia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), hasara ya zaidi ya Sh bilioni 78
Washtakiwa wengine ni Nguyen Minh (40) na Vu Tiep Mameneja wa Halotel, Ha Than (39) Mtaalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) wa Halotel, Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iPvhVn-OSzo/XtpBeOtmrMI/AAAAAAALstA/qmS9eY95tYEGHNrKNEqMj2scnqKZcF_RACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MFANYABIASHARA DAR AFIKISHWA KORTINI KWA KUISABABISHIA TRA HASARA YA SHILINGI BILIONI TATU NA UTAKATISHAJI FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iPvhVn-OSzo/XtpBeOtmrMI/AAAAAAALstA/qmS9eY95tYEGHNrKNEqMj2scnqKZcF_RACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
MFANYABIASHARA wa Jijini Dar es Salaam, Poison Batisha (36), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya Uhujumu yenye mashtaka ya kukwepa kodi, kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya sh. Bilioni tatu na utakatishaji fedha.
Akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali Janet Magoha amedai Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janet Mtega kuwa, kati ya Januari Mosi 2012 na May 12, 2020 ndani ya jiji la Dar es Salaam,...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Dawasco yaidai Serikali Sh15bilioni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uI2lPW-aJ3U/XrABJdd4lZI/AAAAAAALpCc/8Kkjo3HDTysrhjc93J8DgW2J1EJDEzysQCLcBGAsYHQ/s72-c/2febdcd5-8a7a-453f-8233-20f9267e3654.jpg)
VIGOGO SITA WA KAMPUNI YA VIETTEL TANZANIA NA HALOTEL WAMWANDIKIA BARUA DPP KUOMBA KUINGIA MAKUBALIANO YA KUKIRI MASHTAKA YA KUISABABISHIA TCRA HASARA YA SH BILIONI 75
VIGOGO sita wa Kampuni ya Viettel Tanzania akiwemo Mkurugenzi wa Halotel, Son Nguyen (46), wameandika barua kwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), wakiomba kuingia makubaliano ya kukiri mashtaka ya kuisababishia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), hasara ya zaidi ya Sh bilioni 75.
Mbali na Nguyen washitakiwa wengine ni Nguyen Minh (40) na Vu Tiep ambao wote ni Mameneja wa Halotel, Ha Than (39) Mtaalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) Halotel,...
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Dawasco: Tumeikabidhi Serikali wadaiwa Sugu
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Pinda kuitia hasara Serikali
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Faida na hasara za Serikali ya Magufuli kubana matumizi