Pinda kuitia hasara Serikali
Uamuzi wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuruhusu malori makubwa ya mizigo yaendelee kuzidisha uzito wa mizigo, umetajwa kuwa ni hatari na utaisababishia Serikali hasara ya mamilioni ya fedha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
KwanzaJamii15 Aug
Dawasco yaitia serikali hasara ya Sh. bilioni 27
10 years ago
Mtanzania23 Mar
Serikali yapata hasara bil 4/- ununuzi bandia
Na Debora Sanja, Dodoma
SERIKALI imesema imepata hasara ya zaidi ya Sh bilioni nane kutokana na risiti za ununuzi bandia.
Kauli hiyo ilitolewa Dodoma jana na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alipozungumza katika majumuisho ya semina kwa wabunge kuhusu Mfumo wa Malipo nchini.
Mkuya alisema kutokana na mfumo wa kutumia malipo hayo mtu huwasilisha risiti za orodha ya malipo mengi ambayo kwa uhalisia hayapo.
“Ukichukua ile risiti ukienda dukani unakuta hakuna risiti kama hiyo ingawa inakuwapo...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Faida na hasara za Serikali ya Magufuli kubana matumizi
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Njama za CCM kuitia CUF mtegoni
WENYEWE watakataa, lakini sidhani kama ilikuwa ni jambo la busara kwa mawaziri wa Chama cha Wanan
Ahmed Rajab
11 years ago
Mwananchi21 May
Zipo faida, hasara za serikali mbili au tatu kisiasa, kiuchumi
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Ripoti: Bidhaa feki faida kwa Serikali hasara kwa wananchi
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s72-c/8+(1).jpg)
NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s1600/8+(1).jpg)
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....
10 years ago
Habarileo10 May
Serikali itakomesha malaria - Pinda
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali imedhamiria kumaliza tatizo la ugonjwa wa malaria kwa kuamua kujenga kiwanda cha kisasa cha kutengeneza dawa za kuua viluwiluwi wa mbu, wanaosababisha malaria.
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Pinda: Serikali mbili lazima