Njama za CCM kuitia CUF mtegoni
WENYEWE watakataa, lakini sidhani kama ilikuwa ni jambo la busara kwa mawaziri wa Chama cha Wanan
Ahmed Rajab
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
CHADEMA yabaini njama Polisi, CCM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimebaini hujuma zinazodaiwa kufanywa kwa ubia kati ya Jeshi la Polisi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuanzisha vurugu kwenye kampeni za uchaguzi mdogo...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/KfHg6YGqxZ0/default.jpg)
Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake
Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.
![](https://3.bp.blogspot.com/-CwPhPjmqGpQ/VPQhIv6w8uI/AAAAAAAACDo/o9MyJVrPz6w/s640/kizito2.jpg)
Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.
Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Pinda kuitia hasara Serikali
9 years ago
Habarileo14 Dec
Mawaziri mtegoni
MAWAZIRI wapya walioteuliwa na Rais John Magufuli wameshauriwa kutekeleza majukumu yao mapya kwa kuguswa na matatizo ya Watanzania kama anavyoguswa Rais na sio wafanye kazi zao kwa nidhamu ya woga.
9 years ago
Habarileo26 Nov
Wabunge mtegoni
RAIS John Magufuli ametakiwa kufuta posho zote zisizokuwa za lazima kwa wabunge huku watunga sheria hao wakitakiwa kueleza waziwazi msimamo wao kuhusu kukataa posho hizo ili fedha zitakazookolewa zitumike kwa kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi katika majimbo yao.
10 years ago
Vijimambo24 Oct
Tume ya Uchaguzi mtegoni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/ombeni-sefue-October24-2014.jpg)
Wakati Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) ikitarajiwa kuzungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo, inakabiliwa na mtihani mgumu juu ya muda wa kufanyika kwa kura ya maoni ya kupitisha au kukataa Katiba pendekezwa iliyokabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete Oktoba 8, mwaka huu.
Ingawa kwa nyakati tofauti Nec imekuwa na msimamo kwamba kura ya maoni haitafanyika kabla ya kuboreshwa kwa daftari la wapiga kura, kauli ya Rais Kikwete aliyoitoa juzi akiwa nchini China kwamba...
10 years ago
Vijimambo07 Jan
CCM, CUF WALIANZISHA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2580984/highRes/916000/-/maxw/600/-/xpbupnz/-/vurugu.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Aug
TFF yaiweka Yanga mtegoni