Mawaziri mtegoni
MAWAZIRI wapya walioteuliwa na Rais John Magufuli wameshauriwa kutekeleza majukumu yao mapya kwa kuguswa na matatizo ya Watanzania kama anavyoguswa Rais na sio wafanye kazi zao kwa nidhamu ya woga.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo26 Nov
Wabunge mtegoni
RAIS John Magufuli ametakiwa kufuta posho zote zisizokuwa za lazima kwa wabunge huku watunga sheria hao wakitakiwa kueleza waziwazi msimamo wao kuhusu kukataa posho hizo ili fedha zitakazookolewa zitumike kwa kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi katika majimbo yao.
10 years ago
Vijimambo24 Oct
Tume ya Uchaguzi mtegoni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/ombeni-sefue-October24-2014.jpg)
Wakati Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) ikitarajiwa kuzungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo, inakabiliwa na mtihani mgumu juu ya muda wa kufanyika kwa kura ya maoni ya kupitisha au kukataa Katiba pendekezwa iliyokabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete Oktoba 8, mwaka huu.
Ingawa kwa nyakati tofauti Nec imekuwa na msimamo kwamba kura ya maoni haitafanyika kabla ya kuboreshwa kwa daftari la wapiga kura, kauli ya Rais Kikwete aliyoitoa juzi akiwa nchini China kwamba...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
... Samuel Sitta awekwa mtegoni
10 years ago
Mwananchi20 Aug
TFF yaiweka Yanga mtegoni
10 years ago
Mwananchi05 May
Azam mtegoni, Simba yanukia CAF
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Njama za CCM kuitia CUF mtegoni
WENYEWE watakataa, lakini sidhani kama ilikuwa ni jambo la busara kwa mawaziri wa Chama cha Wanan
Ahmed Rajab
11 years ago
Habarileo25 Apr
Ajira vigogo viwanja vya ndege mtegoni
UCHOCHORO wa dawa za kulevya katika viwanja vya ndege nchini, umegeuka shubiri ambapo sasa nafasi za vigogo wa Bodi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) zimegeuka za moto.
10 years ago
Vijimambo26 Mar
BVR zaiweka Nec mtegoni. Yaandikiwa barua isitishe uandikishaji kuepusha vurugu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Jaji%20Lubuva-%2026March2015.jpg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imetakiwa kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kusitisha upigaji kura ya maoni ya Katiba inayopendekezwa Aprili 30, mwaka huu, kwa maelezo kuwa kulazimisha suala hilo kutasababisha mpasuko na hatimaye kuzua vurugu na kuvunja amani ya nchi.
Pia imetakiwa kutokubali kuingiliwa katika utendaji wake wa kazi ikiwamo kulazimishwa kuendesha mchakato wa kura ya maoni katika tarehe hiyo.
Matamko hayo yalitolewa kwa nyakati tofauti na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JUPJxGO-oyQ/default.jpg)