MSD yaidai serikali bilioni 117/-
BOHARI Kuu ya Taifa ya Dawa (MSD) imesema kuwa deni ambalo wanaidai Serikali limezidi kuongezeka hadi kufikia Sh bilioni 117 Septemba 2015, hali ambayo imefanya kuzorotesha utendaji wa bohari hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
MSD yaidai serikali mabilioni
NA EPSON LUHWAGO
UHABA mkubwa wa dawa na vifaa tiba umezikumba hospitali nyingi nchini, zikiwemo za Muhimbili na Ocean Road, kutokana na serikali kudaiwa zaidi ya sh. bilioni 90 na Bohari Kuu ya Dawa, (MSD).
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali linalofuatilia masuala ya afya nchini la SIKIKA, Irenei Kiria, alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa hali hiyo inahatarisha maisha ya wananchi kutokana na kukosa matibabu.
Irene alisema kutokana na madeni hayo, MSD imesimamisha...
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Auswa yaidai Serikali, wananchi Sh1.2 bilioni
10 years ago
Habarileo12 Nov
Serikali yailipa MSD bilioni 20/-
SERIKALI imetoa kiasi cha Sh bilioni 20 ili kulipa sehemu ya deni la Sh bilioni 81 inayodaiwa na Bohari Kuu ya Taifa ya Dawa (MSD).
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Tarime yaidai Barrick Sh1.2 bilioni
9 years ago
Habarileo07 Dec
TPC yaidai Tanesco bilioni 2.9 za umeme
KIWANDA cha Uzalishaji Sukari (TPC) Ltd cha Moshi mkoani Kilimanjaro kinalidai Shirika la Umeme nchini (Tanesco) zaidi ya Sh bilioni 2.9 kama fedha za kuwauzia umeme unaozalishwa hapo na kuingizwa katika Gridi ya Taifa.
10 years ago
Habarileo22 Nov
Halmashauri ya Kilwa yaidai TPDC bilioni 3/-
SHIRIKA la Maendeleo la Taifa la Petroli Tanzania (TPDC) limetakiwa kuilipa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Sh bilioni tatu kutokana na kutolipa ushuru na fidia mbalimbali kwenye kiwanja wanachokimiliki.
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Tanesco yaikatia umeme Dawasco, yaidai Sh7 bilioni
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Dawasco yaidai Serikali Sh15bilioni
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Serikali yapunguza deni MSD