Halmashauri ya Kilwa yaidai TPDC bilioni 3/-
SHIRIKA la Maendeleo la Taifa la Petroli Tanzania (TPDC) limetakiwa kuilipa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Sh bilioni tatu kutokana na kutolipa ushuru na fidia mbalimbali kwenye kiwanja wanachokimiliki.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV28 Jan
Halmashauri Gairo yaidai Halmashauri Kilosa Sh. Mil. 253
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Halmashauri ya wilaya Mpya ya Gairo mkoa Morogoro imeiangukia Serikali kuwasaidia kurejeshwa kwa fedha za mapato ya ndani zaidi ya shilingi milioni 250 ambazo zimechukuliwa na halmashauri mama ya wilaya ya Kilosa hali inayofanya Gairo kuonesha upungufu katika makusanyo ya ndani.
Halmashauri ya wilaya ya Kilosa imekuwa ikichukua mapato ya ndani ya halmashauri ya Gairo kupitia wakala wa kukusanya mapato walioingia mkataba na wilaya hiyo ya Kilosa kabla...
9 years ago
Habarileo07 Dec
TPC yaidai Tanesco bilioni 2.9 za umeme
KIWANDA cha Uzalishaji Sukari (TPC) Ltd cha Moshi mkoani Kilimanjaro kinalidai Shirika la Umeme nchini (Tanesco) zaidi ya Sh bilioni 2.9 kama fedha za kuwauzia umeme unaozalishwa hapo na kuingizwa katika Gridi ya Taifa.
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Tarime yaidai Barrick Sh1.2 bilioni
9 years ago
Habarileo06 Jan
MSD yaidai serikali bilioni 117/-
BOHARI Kuu ya Taifa ya Dawa (MSD) imesema kuwa deni ambalo wanaidai Serikali limezidi kuongezeka hadi kufikia Sh bilioni 117 Septemba 2015, hali ambayo imefanya kuzorotesha utendaji wa bohari hiyo.
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Auswa yaidai Serikali, wananchi Sh1.2 bilioni
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Tanesco yaikatia umeme Dawasco, yaidai Sh7 bilioni
11 years ago
Habarileo28 Feb
Halmashauri Kilwa yasema inafaidika na gesi
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilwa imesema kwa kiasi kikubwa inafaidika vilivyo na rasilimali zilimo ndani ya wilaya hiyo, ikiwemo gesi asilia. Kutokana na faida hiyo, halmashauri hiyo imeandaa miradi mikubwa mitatu itakayowashirikisha wadau, na inatarajiwa kuanzia mwezi Machi mwaka huu mpaka Juni itakuwa imeshaanza.
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-lx00DdH3xxw/VKp1P89lIzI/AAAAAAAG7YQ/p56fEYTa1lU/s1600/CSC_0375.jpg)
TPDC YATUMIA DOLA ZA KIMAREKANI BILIONI 1.225 KWA AJILI YA MRADI WA BOMBA LA GESI
10 years ago
Habarileo19 Feb
Halmashauri zadai NFRA bilioni 1.3/-
WAKALA wa Hifadhi ya Taifa wa Chakula (NFRA) Kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, inadaiwa na halmashauri mkoani humo zaidi ya Sh bilioni 1.3 zikiwa ni fedha za ushuru kwa mahindi waliyoiuzia wakala huyo kwa msimu huu wa kilimo.