Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halmashauri Kilwa yasema inafaidika na gesi

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilwa imesema kwa kiasi kikubwa inafaidika vilivyo na rasilimali zilimo ndani ya wilaya hiyo, ikiwemo gesi asilia. Kutokana na faida hiyo, halmashauri hiyo imeandaa miradi mikubwa mitatu itakayowashirikisha wadau, na inatarajiwa kuanzia mwezi Machi mwaka huu mpaka Juni itakuwa imeshaanza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Halmashauri ya Kilwa yaidai TPDC bilioni 3/-

SHIRIKA la Maendeleo la Taifa la Petroli Tanzania (TPDC) limetakiwa kuilipa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Sh bilioni tatu kutokana na kutolipa ushuru na fidia mbalimbali kwenye kiwanja wanachokimiliki.

 

10 years ago

Michuzi

KILWA WAENDELEA KUFAIDI HUDUMA ZA WAWEKEZAJI WA GESI

Mkuu wa wilaya Ya Kilwa ,Abdallah Ulega (kushoto) akipokea sehemu ya mchango uliotolewa na Kampuni ya uchimbaji gesi ya PANAFRICAN ENERGY kutoka kwa Meneja wa huduma za jamii wa kampuni hiyo,Andrew Kashangaki .
Na Abdulaziz Kilwa Masoko
Wananchi wilayani Kilwa mkoani Lindi wameendelea kunufaika na wawekezaji,baada ya kampuni ya uchimbaji gesi ya PANAFRICAN ENERGY kuikabidhi halmashauri hiyo zahanati ya kijiji cha Nangurukuru ambayo ujenzi wake umegharimu Tshs 262 Milioni .
Akizungumza wakati...

 

11 years ago

Habarileo

LAAC yasema wanasheria wa halmashauri ni dhaifu

WANASHERIA wa baadhi ya halmashauri za wilaya nchini wamedaiwa kuwa chanzo cha kuzisababishia halmashauri zao kupata hati chafu au zenye mashaka kutokana na mwenendo wao wa uandaaji wa kesi na matumizi yasiyo ya lazima katika kesi hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali inafaidika na migogoro ya walimu?

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetangaza mgogoro na Serikali kwa kushindwa kufanyia kazi madai mbalimbali ya walimu yanayofikia Sh61 bilioni, yakiwamo malimbikizo ya mishahara na likizo za walimu.

 

9 years ago

Michuzi

TAASISI YA UONGOZI YAANDAA WARSHA YA NAFASI YA WADAU WA NGAZI YA MKOA, WILAYA NA HALMASHAURI KATIKA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA MAFUTA NA GESI ASILIA

6Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Johansen Bukwali akisoma hotuba ya ufunguzi wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia kwa niaba ya mgeni rasmi Waziri wa Nchi -TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia katika ukumbi wa hoteli ya NAF Beach mkoani Mtwara.
5Mkuu wa Idara ya Utafiti na Sera kutoka Taasisi ya UONGOZI Bw. Dennis Rweyemamu akizungumza kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja wakati wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi...

 

9 years ago

StarTV

Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa

Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.

Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.

Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...

 

10 years ago

StarTV

Halmashauri Gairo yaidai Halmashauri Kilosa Sh. Mil. 253

Na Kasilda Mgeni Mulimila,

Morogoro.

 

Halmashauri ya wilaya Mpya ya Gairo mkoa Morogoro imeiangukia Serikali kuwasaidia kurejeshwa kwa fedha za mapato ya ndani zaidi ya shilingi milioni 250 ambazo zimechukuliwa na halmashauri mama ya wilaya ya Kilosa hali inayofanya Gairo kuonesha upungufu katika makusanyo ya ndani.

Halmashauri ya wilaya ya Kilosa imekuwa ikichukua mapato ya ndani ya halmashauri ya Gairo kupitia wakala wa kukusanya mapato walioingia mkataba na wilaya hiyo ya Kilosa kabla...

 

9 years ago

TheCitizen

Magufuli’s promise to Kilwa

CCM presidential candidate John Magufuli has said if elected to power he will ensure that health services are easily accessible, including improving the health insurance fund so that every Tanzanian could be provided with a quality service.

 

11 years ago

Habarileo

Mvua yasababisha maafa Kilwa

WAKAZI wa Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi, wanakabiliwa na maafa kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha hivi sasa kusababisha mashamba, nyumba za makazi na majengo ya shule za msingi na sekondari, kuharibiwa Diwani wa Kata ya Mandawa Hassani Nalinga, amesema hayo jana kwenye kikao cha Baraza la Madiwani akichangia hoja kutoka kwenye Kamati ya Jamii, Maendeleo na Mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani