KILWA WAENDELEA KUFAIDI HUDUMA ZA WAWEKEZAJI WA GESI
Mkuu wa wilaya Ya Kilwa ,Abdallah Ulega (kushoto) akipokea sehemu ya mchango uliotolewa na Kampuni ya uchimbaji gesi ya PANAFRICAN ENERGY kutoka kwa Meneja wa huduma za jamii wa kampuni hiyo,Andrew Kashangaki .
Na Abdulaziz Kilwa Masoko
Wananchi wilayani Kilwa mkoani Lindi wameendelea kunufaika na wawekezaji,baada ya kampuni ya uchimbaji gesi ya PANAFRICAN ENERGY kuikabidhi halmashauri hiyo zahanati ya kijiji cha Nangurukuru ambayo ujenzi wake umegharimu Tshs 262 Milioni .
Akizungumza wakati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Jun
Vijana 916 waandaliwa kufaidi gesi
VIJANA 916 wa Kitanzania wengi kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara, wamepewa mafunzo ya ndani na nje ya nchi zitakazokuwa na mahitaji makubwa katika sekta ya gesi. Kati ya vijana hao, vijana 668 wanatoka katika mikoa ya Lindi na Mtwara na wamepewa mafunzo ya miaka miwili ya stadi za huduma mbalimbali katika viwango vya kimataifa, katika Chuo cha Mamlaka ya Ufundi Stadi (VETA), mkoani Mtwara.
11 years ago
Habarileo28 Feb
Halmashauri Kilwa yasema inafaidika na gesi
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilwa imesema kwa kiasi kikubwa inafaidika vilivyo na rasilimali zilimo ndani ya wilaya hiyo, ikiwemo gesi asilia. Kutokana na faida hiyo, halmashauri hiyo imeandaa miradi mikubwa mitatu itakayowashirikisha wadau, na inatarajiwa kuanzia mwezi Machi mwaka huu mpaka Juni itakuwa imeshaanza.
11 years ago
Mwananchi07 Jan
JK ataka wawekezaji waaminifu katika gesi
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Gesi asili yawavutia wawekezaji wa Misri
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Wawekezaji gesi watazamwe kwa jicho la pili
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5iocX2RYi2w/Xk08jOcEdOI/AAAAAAALeWA/_X9Da459FEkgS9jw0g72EHYXRDQUeGCGQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-2AA-3-1024x498.jpg)
ZUNGU AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA NISHATI YA GESI NA UMEME,ASHIRIKI KUPANDA MITI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5iocX2RYi2w/Xk08jOcEdOI/AAAAAAALeWA/_X9Da459FEkgS9jw0g72EHYXRDQUeGCGQCLcBGAsYHQ/s640/2-2AA-3-1024x498.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-1AA-1-1024x498.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-1AA-1024x681.jpg)
10 years ago
Vijimambo07 Jul
Utoaji huduma za afya bure waendelea kuvutia wengi Sabasaba
![Baadhi ya wateja kwenye Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwa wamepanga foleni kusubiri kumuona daktari ndani ya Banda la NSSF walipotembelea banda hilo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_04931.jpg)
![Mmoja wa madaktari (kushoto) akimuhudumia mteja alipokuwa akipatiwa huduma za afya bure zinazotolewa na NSSF. Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linatoa huduma za afya bure kwa wateja mbalimbali watakaotembelea katika Banda la shirika hilo ndani ya Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0495.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L18JCeoEIno/VeWCg5qi2sI/AAAAAAAH1hA/WJ5UDUGsQNE/s72-c/001.VODASHOP.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAENDELEA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA MAWASILIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-L18JCeoEIno/VeWCg5qi2sI/AAAAAAAH1hA/WJ5UDUGsQNE/s640/001.VODASHOP.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hYGJE0t9XGM/VeWCgngzMBI/AAAAAAAH1g8/JjAO1eslbtg/s640/002.VODASHOP.jpg)
11 years ago
MichuziPPF WAENDELEA KUTOA HUDUMA KWA WAKATI KATIKA MAONYESHO YA 38 YA SABASABA