Gesi asili yawavutia wawekezaji wa Misri
Wawekezaji mbalimbali wa Misri wameonyesha nia kuwekeza Tanzania zaidi ya dola 5 milioni za Marekani, hasa eneo la gesi asilia na huduma nyingine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Oct
EPZ Bagamoyo yawavutia wawekezaji kutoka China
11 years ago
Mwananchi07 Jan
JK ataka wawekezaji waaminifu katika gesi
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Statoil yagundua kisima kingine cha gesi asili
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Wawekezaji gesi watazamwe kwa jicho la pili
10 years ago
MichuziKILWA WAENDELEA KUFAIDI HUDUMA ZA WAWEKEZAJI WA GESI
Na Abdulaziz Kilwa Masoko
Wananchi wilayani Kilwa mkoani Lindi wameendelea kunufaika na wawekezaji,baada ya kampuni ya uchimbaji gesi ya PANAFRICAN ENERGY kuikabidhi halmashauri hiyo zahanati ya kijiji cha Nangurukuru ambayo ujenzi wake umegharimu Tshs 262 Milioni .
Akizungumza wakati...
10 years ago
MichuziUJENZI WA MTAMBO WA KUCHAKATA GESI ASILI KUCHUKUA MIAKA SABA
Na. Leonard Mwakalebela, Norway UJENZI wa mtambo wa kuchakata gesi asili kwa ajili ya matumizi mbalimbali (LNG) mjini Mtwara unakadiriwa kuchukua miaka takriban saba.
Meneja Uendeshaji wa kampuni ya Statoil Tanzania Bw. Thomas Mannes amesema kuwa, mambo yakienda kama yalivyopangwa, mtambo huo utakuwa tayari kwa uchakataji kati ya mwaka 2022 au 2023.
Akizungumza na viongozi wa dini wa Tanzania waliotembelea mtambo wa uchakataji gesi wa Statoil uliopo Karsto, Bw.Mannes amesema kuwa mradi huo...
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Gesi nyingi yagunduliwa Misri
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5iocX2RYi2w/Xk08jOcEdOI/AAAAAAALeWA/_X9Da459FEkgS9jw0g72EHYXRDQUeGCGQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-2AA-3-1024x498.jpg)
ZUNGU AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA NISHATI YA GESI NA UMEME,ASHIRIKI KUPANDA MITI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5iocX2RYi2w/Xk08jOcEdOI/AAAAAAALeWA/_X9Da459FEkgS9jw0g72EHYXRDQUeGCGQCLcBGAsYHQ/s640/2-2AA-3-1024x498.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-1AA-1-1024x498.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-1AA-1024x681.jpg)
9 years ago
Habarileo26 Dec
Kasi ya Rais Magufuli yawavutia maaskofu
VIONGOZI wa makanisa mbalimbali nchini, wametoa salamu za Sikukuu ya Krismasi jana, wakielezea kufurahishwa na kasi ya utendaji kazi wa Rais John Magufuli. Wamesisitiza waumini wao, kumuombea Rais na kuwataka wananchi kutii mamlaka, kwa kuwa yamewekwa na Mungu. Viongozi hao pia, wamewataka watendaji wa Serikali na wananchi walioshiriki ukwepaji kodi, watubu dhambi zao na kurejesha vyote walivyochukua, ambavyo si halali yao.