JK ataka wawekezaji waaminifu katika gesi
Rais Jakaya Kikwete amesema Tanzania inahitaji washirika wawekezaji waaminifu katika sekta ya gesi, ili kuwezesha Watanzania kunufaika kikamilifu na rasilimali hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Gesi asili yawavutia wawekezaji wa Misri
10 years ago
MichuziKILWA WAENDELEA KUFAIDI HUDUMA ZA WAWEKEZAJI WA GESI
Na Abdulaziz Kilwa Masoko
Wananchi wilayani Kilwa mkoani Lindi wameendelea kunufaika na wawekezaji,baada ya kampuni ya uchimbaji gesi ya PANAFRICAN ENERGY kuikabidhi halmashauri hiyo zahanati ya kijiji cha Nangurukuru ambayo ujenzi wake umegharimu Tshs 262 Milioni .
Akizungumza wakati...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Wawekezaji gesi watazamwe kwa jicho la pili
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-81VrDrDOHvY/XrP-miQblSI/AAAAAAALpZo/e7lC98-1X7Issgf3Qsj32CbzcDqQ6AV3ACLcBGAsYHQ/s72-c/630.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR YASIKITISHWA NA BAADHI YA WATENDAJI WA TAASISI YA ARDHI KUTOKUWA WAAMINIFU KATIKA MAJUKUMU YAO
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa masikitiko hayo wakati akijibu Hoja za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake aliyoiwasilisha katika Kikao cha Bajeti cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5iocX2RYi2w/Xk08jOcEdOI/AAAAAAALeWA/_X9Da459FEkgS9jw0g72EHYXRDQUeGCGQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-2AA-3-1024x498.jpg)
ZUNGU AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA NISHATI YA GESI NA UMEME,ASHIRIKI KUPANDA MITI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5iocX2RYi2w/Xk08jOcEdOI/AAAAAAALeWA/_X9Da459FEkgS9jw0g72EHYXRDQUeGCGQCLcBGAsYHQ/s640/2-2AA-3-1024x498.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-1AA-1-1024x498.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-1AA-1024x681.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Jan
Ridhiwani ataka wawekezaji kufuata sheria na taratibu
WAWEKEZAJI kwenye kijiji cha Changarikwa wametakiwa kufuata taratibu za kisheria ili kuondoa migogoro baina yao na wananchi.
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Muhongo ataka wawekezaji kuepuka mikataba ya rushwa
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ameyataka mashirika yanayotaka kuwekezaji kwenye Sekta ya Gesi na Mafuta nchini, yajiepushe kusaini mikataba ya rushwa ili kuepuka migogoro ya kimaslahi. Muhongo...
10 years ago
Habarileo05 Sep
Sumaye ataka gesi ifute umasikini
ALIYEKUWA Waziri Mkuu, Frederick Sumaye, amesema Watanzania na wananchi wa mataifa ambako kumegundulika gesi na mafuta, wanapaswa kufahamu hatma ya kuondoa umasikini wa nchi yao, iko mikononi mwao.
11 years ago
Habarileo27 Jan
Pinda ataka ulinzi wa uhakika mitambo ya gesi
UJENZI wa mitambo ya uchakataji wa gesi katika eneo la Madimba umepamba moto na inaelezwa kuwa wanavijiji wa eneo hilo na wale wa Songosongo licha ya kufaidika na umeme, lakini pia watapewa huduma ya majisafi na salama bure.