UJENZI WA MTAMBO WA KUCHAKATA GESI ASILI KUCHUKUA MIAKA SABA
Na. Leonard Mwakalebela, Norway UJENZI wa mtambo wa kuchakata gesi asili kwa ajili ya matumizi mbalimbali (LNG) mjini Mtwara unakadiriwa kuchukua miaka takriban saba.
Meneja Uendeshaji wa kampuni ya Statoil Tanzania Bw. Thomas Mannes amesema kuwa, mambo yakienda kama yalivyopangwa, mtambo huo utakuwa tayari kwa uchakataji kati ya mwaka 2022 au 2023.
Akizungumza na viongozi wa dini wa Tanzania waliotembelea mtambo wa uchakataji gesi wa Statoil uliopo Karsto, Bw.Mannes amesema kuwa mradi huo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
Waziri Mkuu Pinda akagua mtambo wa kuchakata gesi Mtwara
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua mtambo wa kuchakata gesi unaojengwa na serikali kupiatia Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) katika eneola Madimba mkoani Mtwara Julai 1, 2015. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Halima Dendego. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wahadisi na mafundi wa Kichina wanaojenga mtambo wa kuchakata gesi kwa gharama za serikali kupiatia Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) katika eneola Madimba...
10 years ago
Mwananchi12 May
Ujenzi kituo cha kuchakata gesi Madimba wakamilika
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zM1T1Sw15h0/VZwzFhKs-QI/AAAAAAAHnm8/wrlf2I4UQ_4/s72-c/unnamed%2B%252873%2529.jpg)
Kinondoni yasaini mkatana wa ushirikiano na jiji la Hamburg, kujengewa mtambo wa kisasa wa kuchakata taka za ugani
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KvylcAIOQzU/VhtSAPwIxlI/AAAAAAAH-6Y/wdp8OSPypgM/s72-c/m1.jpg)
UZINDUZI WA kiwanda cha kuchakata gesi asilia eneo la Madimba Mkoani Mtwara
![](http://1.bp.blogspot.com/-KvylcAIOQzU/VhtSAPwIxlI/AAAAAAAH-6Y/wdp8OSPypgM/s640/m1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I9L9OsFngYY/VhtSA0bE9cI/AAAAAAAH-6c/hqNxlIjID3E/s640/m2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jqiu_tNYFvA/VhtR-_gMwAI/AAAAAAAH-6Q/CM5J9TM15vA/s640/m3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sjlgeVQKsPk/VOdQxSEcxpI/AAAAAAAHEyU/oeNpQ59-wyA/s72-c/DSC_0578.jpg)
BODI YA WAKURUGENZI (EWURA) YATOA UAMUZI KUHUSU MAOMBI YA TPDC YA TOZO ZA HUDUMA ZA KUCHAKATA NA KUSAFIRISHA GESI ASILIA
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa agizo kwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania(TPDC) kuzingatia kanuni za ushindani pamoja na kuiarifu EWURA kila TPDC inapofanya manunuzi ya thamani yanayozidi dola za Marekani 5 Milioni.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam,Mkururugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),Felix Ngamlagosi amesema agizo hilo litaanza kutekelezwa kuanzia tarehe...
10 years ago
Dewji Blog27 Jan
Maafisa Mawasiliano watembelea Mradi wa kuchakata Gesi wa Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akitembeea katika eneo la mradi wa nyumba za wafanyakazi wa Mradi wa kuchakata Gesi Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant wakati wa ziara ya Maafisa Mawasiliano Serikalini leo Mkoani Mtwara. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari – MAEEZO Bibi. Zamaradi Kawawa na Mkuu wa Kitengo Serikalini wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud(katikati).
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,...
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Wadau wa Modewji blog wajumuika kusherehekea miaka 7 ya mtandao huo ndani ya viwanja vya Saba Saba
Mdau wa modewjiblog, Ray the hustler (kushoto) aliyeambatana ndugu zake kutembelea banda la Modewjiblog katika picha ya pamoja na Mwandishi wa habari mwandamizi wa mtandao wa Modewjiblog, Andrew Chale.
Na Modewjiblog team
Shamra shamra za miaka Saba za mtandao wa habari nchini wa Modewji blog tayari zimeanza kurindima ndani ya banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza jana kwenye mabanda ya SabaSaba katika viwanja vya Mwalimu...
10 years ago
Vijimambo29 Jun
WADAU WA MODEWJI BLOG WAJUMUIKA KUSHEREHEKEA MIAKA 7 YA MTANDAO HUO NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA
![IMG_5219](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5219.jpg)
Mdau wa modewjiblog, Ray the hustler (kushoto) aliyeambatana ndugu zake kutembelea banda la Modewjiblog katika picha ya pamoja na Mwandishi wa habari mwandamizi wa mtandao wa Modewjiblog, Andrew Chale.
![DSC_0582](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/DSC_0582.jpg)
Afisa Masoko wa taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha, (UTT-PID), Kilave Atenaka (katikati) pamoja na Afisa kutoka taasisi hiyo Beatrice Ngode waki-show love na T-shirts za modewjiblog walizokabidhiwa walipotembelea banda la modewjiblog na kujionea shughuli...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Gesi asili yawavutia wawekezaji wa Misri