Waziri Mkuu Pinda akagua mtambo wa kuchakata gesi Mtwara
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua mtambo wa kuchakata gesi unaojengwa na serikali kupiatia Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) katika eneola Madimba mkoani Mtwara Julai 1, 2015. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Halima Dendego. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wahadisi na mafundi wa Kichina wanaojenga mtambo wa kuchakata gesi kwa gharama za serikali kupiatia Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) katika eneola Madimba...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUJENZI WA MTAMBO WA KUCHAKATA GESI ASILI KUCHUKUA MIAKA SABA
Na. Leonard Mwakalebela, Norway UJENZI wa mtambo wa kuchakata gesi asili kwa ajili ya matumizi mbalimbali (LNG) mjini Mtwara unakadiriwa kuchukua miaka takriban saba.
Meneja Uendeshaji wa kampuni ya Statoil Tanzania Bw. Thomas Mannes amesema kuwa, mambo yakienda kama yalivyopangwa, mtambo huo utakuwa tayari kwa uchakataji kati ya mwaka 2022 au 2023.
Akizungumza na viongozi wa dini wa Tanzania waliotembelea mtambo wa uchakataji gesi wa Statoil uliopo Karsto, Bw.Mannes amesema kuwa mradi huo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gdKiWC9cycQ/XtZkt3COQBI/AAAAAAALsV8/nIa_wulaWZ4qZsKoh7kSwGphxLQQJFVQgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B%2B%2B1.jpg)
Katibu Mkuu Nishati akagua uzalishaji wa gesi asilia Lindi na Mtwara
![](https://1.bp.blogspot.com/-gdKiWC9cycQ/XtZkt3COQBI/AAAAAAALsV8/nIa_wulaWZ4qZsKoh7kSwGphxLQQJFVQgCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B%2B%2B1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIC-4.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said( mwenye wa pili kulia) akitoa maelekezo kwa msimamizi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KvylcAIOQzU/VhtSAPwIxlI/AAAAAAAH-6Y/wdp8OSPypgM/s72-c/m1.jpg)
UZINDUZI WA kiwanda cha kuchakata gesi asilia eneo la Madimba Mkoani Mtwara
![](http://1.bp.blogspot.com/-KvylcAIOQzU/VhtSAPwIxlI/AAAAAAAH-6Y/wdp8OSPypgM/s640/m1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I9L9OsFngYY/VhtSA0bE9cI/AAAAAAAH-6c/hqNxlIjID3E/s640/m2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jqiu_tNYFvA/VhtR-_gMwAI/AAAAAAAH-6Q/CM5J9TM15vA/s640/m3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4zse40b1aWM/U77l1lCQH6I/AAAAAAAF0nA/m0rKPRSjI0k/s72-c/pinda1504.jpg)
Wakazi wa Mtwara na Lindi kushuhudia fursa za Utalii na Uchumi kupitia Tamasha la Utamaduni la Mtwara,Waziri mkuu pinda kuwa mgeni rasmi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4zse40b1aWM/U77l1lCQH6I/AAAAAAAF0nA/m0rKPRSjI0k/s1600/pinda1504.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Tamasha la Mkoa wa Mtwara, ‘Mtwara Festival’, linatarajia kufungua milango ya fursa kwa wakazi wa mikoa ya Mtwara na Lindi katika kuziona fursa kadhaa kwenye sekta ya Utalii na Uchumi.Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia mwezi Agosti 16 na 17 mwaka huu kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona ulipo Mtwara mjini. Mgeni rasmi katika Tamasha hilo anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huku likiwa na kauli mbiu isemayo ‘Fursa Zimefunguka,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lqTxCyFtXvU/VajptaiFIOI/AAAAAAAHqOw/_01YYUMfxmc/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
WAZIRI MKUU MHE MIZENGO PINDA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA ELIMU WILAYANI MLELE
![](http://2.bp.blogspot.com/-lqTxCyFtXvU/VajptaiFIOI/AAAAAAAHqOw/_01YYUMfxmc/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4qEWaERQEac/VajptX7MJTI/AAAAAAAHqOs/tlRZXdFnipI/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Pinda ‘kuinadi’ gesi ya Mtwara, mafuta Qatar
Waziri Mkuu Mizengo Pinda anaendelea na ziara yake ya siku tatu nchini Qatar na kazi kubwa ni kutafuta wawekezaji katika sekta ya mafuta na gesi pamoja na maeneo mengine ya kiuchumi ikiwemo utalii na fursa za biashara.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zM1T1Sw15h0/VZwzFhKs-QI/AAAAAAAHnm8/wrlf2I4UQ_4/s72-c/unnamed%2B%252873%2529.jpg)
Kinondoni yasaini mkatana wa ushirikiano na jiji la Hamburg, kujengewa mtambo wa kisasa wa kuchakata taka za ugani
Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam imetiliana saini mkataba wa mashirikiano ya kusaidiana na jiji la Hamburg la Ujerumani. Mkataba huo umesainiwa leo na Mstahiki Meya wa Kinondoni Mhe. Yusuf Mwenda na State Secretary wa Hamburg, Bw. Wolfgang Schmidt, ambapo kutajengwa mtambo wa kisasa wa kuchakata taka za ugani na kuzalishwa mbolea eneo la Mabwepande wenye thamani ya shilingi za kitanzania ni bilioni 3.5 ambazo zitatolewa na jiji la Hamburg.Mstahiki Meya alisema ukishajengwa mtambo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania