BODI YA WAKURUGENZI (EWURA) YATOA UAMUZI KUHUSU MAOMBI YA TPDC YA TOZO ZA HUDUMA ZA KUCHAKATA NA KUSAFIRISHA GESI ASILIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-sjlgeVQKsPk/VOdQxSEcxpI/AAAAAAAHEyU/oeNpQ59-wyA/s72-c/DSC_0578.jpg)
Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa agizo kwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania(TPDC) kuzingatia kanuni za ushindani pamoja na kuiarifu EWURA kila TPDC inapofanya manunuzi ya thamani yanayozidi dola za Marekani 5 Milioni.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam,Mkururugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),Felix Ngamlagosi amesema agizo hilo litaanza kutekelezwa kuanzia tarehe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTPDC YAOMBA TOZO EWURA KUSAFIRISHA GESI ASILIA
GESI asilia ni bidhaa muhimu kwa maendeleo ya wananchi na uchumi wa nchi yeyote ikiwemo Tanzania.
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Said Meck Sadick wakati wa ufunguzi wa taftishi juu ya maombi la Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhusu mapendekezo ya tozo ya uchakataji na usafirishaji wa Gesi asilia uliofanyika.
Mhe. Sadick amesema kuwa, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) ilipokea maombi ya Shirika la...
10 years ago
Habarileo09 Jan
Mradi wa gesi ‘waikuna’ Bodi Wakurugenzi TPDC
BODI ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), imeridhishwa na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa miundombinu ya gesi asilia ambayo imekamilika kwa asilimia 95.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_l_AMO6a8fQ/VbpJauxvo9I/AAAAAAAHs1M/j8eW02gbcbo/s72-c/Untitled1.png)
BODI YA TPDC YAKAMILISHA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_l_AMO6a8fQ/VbpJauxvo9I/AAAAAAAHs1M/j8eW02gbcbo/s640/Untitled1.png)
10 years ago
VijimamboTPDC YATOA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA KUTOKA MADIMBA MTWARA,SONGO SONGO LINDI NA PWANI HADI DAR ES SALAAM.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KvylcAIOQzU/VhtSAPwIxlI/AAAAAAAH-6Y/wdp8OSPypgM/s72-c/m1.jpg)
UZINDUZI WA kiwanda cha kuchakata gesi asilia eneo la Madimba Mkoani Mtwara
![](http://1.bp.blogspot.com/-KvylcAIOQzU/VhtSAPwIxlI/AAAAAAAH-6Y/wdp8OSPypgM/s640/m1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I9L9OsFngYY/VhtSA0bE9cI/AAAAAAAH-6c/hqNxlIjID3E/s640/m2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jqiu_tNYFvA/VhtR-_gMwAI/AAAAAAAH-6Q/CM5J9TM15vA/s640/m3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VBVX8fvu9bU/VnACjuZo61I/AAAAAAAIMjg/5SLSef5wXyg/s72-c/0dd85f74-335b-451e-a793-8a1050952f29.jpeg)
TPDC: Gesi asilia ipo na ziada
Dk. Mataragio ameongeza kuwa mchanganuo huo wa uzalishaji wa gesi unazidi mahitaji yetu kwa sasa na hivyo...
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
TCRA yatoa taarifa kuhusu tozo kwenye simu
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Mkoma.
taarifa_kwa_UmmaGharama_za_Vifurushi_Feb_2015.pdf by moblog
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dYII21Uqif8/XnMAHvwogiI/AAAAAAALkYI/-YKDqoR8_HwWBBvm34O6N1cOjsRB71_2ACLcBGAsYHQ/s72-c/1-50.jpg)
MGALU- VIWANDA VIPYA 50 KUNUFAINIKA NA HUDUMA YA NISHATI YA UMEME WA GESI ASILIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dYII21Uqif8/XnMAHvwogiI/AAAAAAALkYI/-YKDqoR8_HwWBBvm34O6N1cOjsRB71_2ACLcBGAsYHQ/s640/1-50.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-46.jpg)
10 years ago
MichuziNaibu Waziri Kitwanga afungua semina kuhusu matumizi ya gesi asilia nchini