TCRA yatoa taarifa kuhusu tozo kwenye simu
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Mkoma.
taarifa_kwa_UmmaGharama_za_Vifurushi_Feb_2015.pdf by moblog
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Feb
TCRA sasa yazijia juu kampuni za simu nchini kupandisha tozo
>Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imezitaka kampuni za simu nchini kufuata sheria wanapotaka kufanya mabadiliko ya tozo za huduma zao ili kutoleta mshtuko kwa wateja.
10 years ago
Michuzi24 Feb
9 years ago
Global Publishers19 Dec
TCRA Yatoa miezi Sita kuzifunga simu feki Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-PDqSPwJbAO8/VnUKo_tOSHI/AAAAAAAAr9U/d7XyHe3V99Q/s1600/tmp_21241-2_TCRA-Tanzania-250x250-800x500_c96447027.jpg)
UTANGULIZI:
Vifaa vya mawasiliano vya mkononi – hususan simu za kiganjani na vifaa vya mawasiliano vya kiganjani (tablets) – vina namba maalum inayovitambulisha. Namba hiyo inajulikana kama IMEI ambacho ni kifupi cha International Mobile Equipment Identity.Kifungu cha 84 cha Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA) ya 2010 kinataka kuwepo kwa mfumo wa rajisi ya namba za utambulisho wa vifaa vya mawasiliano vya mkononi. Rajisi hii inajulikana kwa kiingereza kama Central...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sjlgeVQKsPk/VOdQxSEcxpI/AAAAAAAHEyU/oeNpQ59-wyA/s72-c/DSC_0578.jpg)
BODI YA WAKURUGENZI (EWURA) YATOA UAMUZI KUHUSU MAOMBI YA TPDC YA TOZO ZA HUDUMA ZA KUCHAKATA NA KUSAFIRISHA GESI ASILIA
Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa agizo kwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania(TPDC) kuzingatia kanuni za ushindani pamoja na kuiarifu EWURA kila TPDC inapofanya manunuzi ya thamani yanayozidi dola za Marekani 5 Milioni.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam,Mkururugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),Felix Ngamlagosi amesema agizo hilo litaanza kutekelezwa kuanzia tarehe...
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa agizo kwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania(TPDC) kuzingatia kanuni za ushindani pamoja na kuiarifu EWURA kila TPDC inapofanya manunuzi ya thamani yanayozidi dola za Marekani 5 Milioni.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam,Mkururugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),Felix Ngamlagosi amesema agizo hilo litaanza kutekelezwa kuanzia tarehe...
10 years ago
Bongo524 Feb
Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu
Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA imetoa tamko kuhusiana na malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za simu nchini kufuatia kubadilika kwa vifurushi vya mawasiliano. Malalamiko hayo yalikuja baada ya baadhi ya mitandao ya simu kupunguza ukubwa wa data anazopata mtumiaji wa simu anapojiunga na vifurushi vya muda wa maongezi, sms na data kwa pamoja. Baadhi […]
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XisBi9_f_ig/VcGmBnnPkcI/AAAAAAAAEkw/l61EjgoJoiI/s72-c/1.jpg)
TCRA YATOA ELIMU KWA WANANCHI KWENYE MAONESHO YA KILIMO ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-XisBi9_f_ig/VcGmBnnPkcI/AAAAAAAAEkw/l61EjgoJoiI/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pE46eR86MoU/VcGmFBcuWhI/AAAAAAAAEk4/7v_f5zoce6g/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e7mMcxlq8gU/VcGmILBV08I/AAAAAAAAElA/sV0GPPIovLg/s640/3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
TCRA yatoa ufafanuzi juu ya tangazo lake lililotolewa kwenye vyombo vya habari Septemba 11
Taarifa kwa Vyombo vya Habari_13_09_2015.pdf
10 years ago
Mwananchi20 Feb
GHARAMA: ‘Tozo za huduma za simu hazizuiliki’
>Wakati Watanzania wakizidi ‘kutoboa’ mifuko yao kununua vifurushi vya kupiga simu na kutuma ujumbe wa mfupi, baada ya mabadiliko ya viwango vya huduma hizo, Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo imesema mabadiliko hayo hayazuiliki kutokana na changamoto za uwekezaji.
9 years ago
CHADEMA BlogCHADEMA YATOA ONYO KUHUSU MPANGO WA KUKATA MAWASILIANO YA SIMU NA MTANDAO WA INTANETI
Chama cha Democrasia na maendeleo CHADEMA pamoja na umoja wa katiba ya wananchi UKAWA wamesema kuwa upo mpango unaoandaliwa na chama cha mapinduzi kwa kushirikiana na serikali kuhakikisha kuwa wanakata mawasiliano hasa ya mtandao kwa siku ya upigaji kura Tanzania,mpango ambao wamesema kuwa unasukwa kwa ajili ya kuhakikisha kuwa watanzania wanakuwa hawana mawasiliano ya haraka kupenana habari za
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania