Naibu Waziri Kitwanga afungua semina kuhusu matumizi ya gesi asilia nchini
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga akifungua rasmi semina kuhusu matumizi ya gesi asilia iliyofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Japan Tanzania, Masaki Okada akizungumza na wadau na wataalamu wa gesi asilia (hawapo pichani) waliohudhuria semina ya matumizi ya gesi asilia iliyofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Serena ya jijini Dar es Salaam.
Wataalamu na wadau wa gesi asilia kutoka Japan na Tanzania wakimsikiliza Naibu Waziri wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI CHARLES KITWANGA APOKEA SHEHENA YA MWISHO YA MABOMBA YA GESI
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI CHARLES KITWANGA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KAZI NA AJIRA AFUNGUA SEMINA YA VIJANA MKOANI LINDI
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFUNGUA RASMI SEMINA YA WACHIMBAJI WADOGO KIBARA, MKOANI MARA
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Stephen Masele afungua rasmi semina ya wachimbaji wadogo Kibara mkoani Mara
Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya madini Mhe. Stephen Masele akifungua mafunzo ya wachimbaji wadogo yaliyofanyika Kibara, mkoani Mara. Pia semina hiyo ilishirikisha viongozi wa vijiji, vyama pamoja na madiwani lengo likiwa ni kuwapa uelewa wa sheria na kanuni za uchimbaji wa madini. Aliyekaa katikati ni Mbunge wa Jimbo la Mwibara Mhe. Kangi Lugora. Kushoto ni Kamishna Msaidizi – Uendelezaji wa Uchimbaji Mdogo Mhandisi Fredy Mahobe.
Naibu Waziri wa...
10 years ago
Dewji Blog07 May
Waziri wa Afya afungua semina kwa waandishi wa habari kuhusu usalama wa chakula
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Rashid Seif (kushoto), akihutubia wakati akifungua semina ya siku moja kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu usalama wa chakula. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora.
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina hiyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando (kushoto),...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fHFt4zY9Wpg/XtOmc6R0OXI/AAAAAAALsHs/w0R8CDxnXAYT2R3d5RdOd_NhQxs5OoAyQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-4-9-768x512.jpg)
MATUMIZI YA GESI ASILIA MAJUMBANI WATEJA WA AWALI KUUNGANISHWA BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-fHFt4zY9Wpg/XtOmc6R0OXI/AAAAAAALsHs/w0R8CDxnXAYT2R3d5RdOd_NhQxs5OoAyQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-4-9-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-1-10-1024x683.jpg)
Baadhi ya nyumba zikiwa zimefungiwa mita ya za kupima matumizi ya gesi asilia kwa kwa ajili ya kupikia,Waziri wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1fLi9aQ62Lc/XpwmXLuw_iI/AAAAAAALnaA/hf_P5nq6quEGj6wSgDHiHq8-hEZlo13JACLcBGAsYHQ/s72-c/Ndugulile.jpeg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT NDUGULILE ATOA UFAFANUZI KUHUSU BARAKOA NA MATUMIZI YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-1fLi9aQ62Lc/XpwmXLuw_iI/AAAAAAALnaA/hf_P5nq6quEGj6wSgDHiHq8-hEZlo13JACLcBGAsYHQ/s640/Ndugulile.jpeg)
NA DK FAUSTINE NDUGULILE
Kuna clip inazunguka mitandaoni nikiongelea kuhusu barakoa za kitambaa. Napenda kutoa ufafanuzi ufuatavyo:
1. Barakoa za N95 zinapaswa kutumika na watoa huduma wa afya wanaohudumia wagonjwa wa Covid-19. Barakoa hizi hazipaswi kuvaliwa mitaani, majumbani wala maofisini.
2. Barakoa za upasuaji (surgical masks) hizi zinapaswa kuvaliwa na watumishi wa afya ambao hawana direct contact na...