MATUMIZI YA GESI ASILIA MAJUMBANI WATEJA WA AWALI KUUNGANISHWA BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-fHFt4zY9Wpg/XtOmc6R0OXI/AAAAAAALsHs/w0R8CDxnXAYT2R3d5RdOd_NhQxs5OoAyQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-4-9-768x512.jpg)
Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani,(katikati)akipata maelezo ya namna mita ya kupima gesi asilia kwa matumizi ya nyumbani, inayofanya kazi, kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa shirika la Maendeleo ya Petroli nchini( TPDC)( kulia), katika hafla ya uzinduzi wa ujenzi wa miundombinu ya usambazaji gesi asilia kwa matumizi ya majumbani katika eneo la Mnazi Mmoja Mkoani Lindi
Baadhi ya nyumba zikiwa zimefungiwa mita ya za kupima matumizi ya gesi asilia kwa kwa ajili ya kupikia,Waziri wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNaibu Waziri Kitwanga afungua semina kuhusu matumizi ya gesi asilia nchini
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Watanzania wanaumia bei ya gesi ya majumbani
MWAKA 2014 hali ya maisha kwa Watanzania wa kawaida imezidi kuwa ngumu kutokana na kila kitu kupanda bei. Mambo yaliyonishtua na kusababisha niandike mtazamo huu ni kutokana na bei ya...
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Mradi wa gesi majumbani uwe endelevu
9 years ago
Habarileo15 Nov
Mikoa minne kufaidika na gesi majumbani
WANANCHI 37,900 wanatarajia kuanza kunufaika na matumizi ya gesi majumbani pamoja na magari 9,400 kwa kuunganishwa na matumizi ya gesi kwenye mikoa minne inayopita bomba la gesi kutoka Mtwara mpaka jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VBVX8fvu9bU/VnACjuZo61I/AAAAAAAIMjg/5SLSef5wXyg/s72-c/0dd85f74-335b-451e-a793-8a1050952f29.jpeg)
TPDC: Gesi asilia ipo na ziada
Dk. Mataragio ameongeza kuwa mchanganuo huo wa uzalishaji wa gesi unazidi mahitaji yetu kwa sasa na hivyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FuyxV5Eh4jI/VT6gjrmldtI/AAAAAAAC3rg/E-Zyq7h5BoQ/s72-c/Dr%2BAbel%2BKinyondo%2B%26%2BInvited%2BExpert%2BInnocent%2BBash%2Bfrom%2BTEITI%2Baddressing%2Bthe%2Bmedia%2B.jpg)
Watanzania kunufaika zaidi na Gesi Asilia
KUTOKANA na kugundulika kwa hazina kubwa ya gesi nchini ambayo inategemewa kukuza pato la taifa zaidi ya mara 15 ya sasa, kiasi cha kuiwezesha Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zenye uchumi wa kati kufikia mwaka 2025.
Hata hivyo, dhana ya kwamba Rais ajaye baada ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete kumaliza muda wake, anaweza akaikuta Tanzania ikiwa ni nchi tajiri tayari kutokana na rasilimali...
10 years ago
Habarileo09 Jan
Bomba la gesi asilia litaokoa trilioni 1.6/-
MRADI wa ujenzi wa bomba la gesi asilia, utaleta manufaa makubwa kwa taifa na wananchi wake, ikiwemo utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2015 na utasaidia kuokoa Sh trilioni 1.6 kwa mwaka.
10 years ago
Vijimambo28 Oct
Wabunge wacharukia mikataba ya gesi asilia
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto-Kabwe-October28-2014.jpg)
Usiri katika mikataba 26 ya utafiti na uchimbaji wa gesi umezidi kuigubika nchi, baada ya menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kukaidi maagizo ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na hivyo kuzua mvutano mkubwa kati yake na kamati hiyo kikaoni.
Maagizo hayo ambayo yalitolewa na PAC mwaka jana, yaliitaka menejimenti ya TPDC kuwasilisha taarifa ya mapitio ya mikataba hiyo pamoja na mikataba...