Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania wanaumia bei ya gesi ya majumbani

MWAKA 2014 hali ya maisha kwa Watanzania wa kawaida  imezidi kuwa ngumu kutokana na kila kitu kupanda bei. Mambo yaliyonishtua na kusababisha niandike mtazamo huu ni kutokana na bei ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mikoa minne kufaidika na gesi majumbani

WANANCHI 37,900 wanatarajia kuanza kunufaika na matumizi ya gesi majumbani pamoja na magari 9,400 kwa kuunganishwa na matumizi ya gesi kwenye mikoa minne inayopita bomba la gesi kutoka Mtwara mpaka jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Mradi wa gesi majumbani uwe endelevu

Tangu ilipogundulika hazina kubwa ya gesi nchini miaka michache iliyopita, kumekuwapo na kauli nyingi kuhusu manufaa ambayo wananchi mmoja mmoja au nchi wataweza kupata kutokana na rasilimali hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

MATUMIZI YA GESI ASILIA MAJUMBANI WATEJA WA AWALI KUUNGANISHWA BURE

Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani,(katikati)akipata maelezo ya namna mita ya kupima gesi asilia kwa matumizi ya nyumbani, inayofanya kazi, kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa shirika la Maendeleo ya Petroli nchini( TPDC)( kulia), katika hafla ya uzinduzi wa ujenzi wa miundombinu ya usambazaji gesi asilia kwa matumizi ya majumbani katika eneo la Mnazi Mmoja Mkoani Lindi

Baadhi ya nyumba zikiwa zimefungiwa mita ya za kupima matumizi ya gesi asilia kwa kwa ajili ya kupikia,Waziri wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yaipandishia Ukraine bei ya Gesi

Kampuni ya Gasi nchini Urusi GAZPROM imeongeza bei ya bidhaa hiyo inayoilipisha Ukrain kuanzia hii leo.

 

10 years ago

Mwananchi

Bei ya mafuta kuathiri utafutaji wa gesi Tz

Anguko la bei ya mafuta ghafi katika soko la dunia huenda likaifanya Serikali kupitia upya baadhi ya mikataba ya utafutaji wa mafuta na gesi ili kuwavutia wawekezaji wengi zaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Serikali ipunguze bei ya nishati ya gesi’

Kaimu katibu tawala wa Mkoa wa Pwani, Shangwe Twalama amesema Serikali inapaswa kuweka utaratibu wa kupunguza bei ya gesi ili wananchi waendelee kununua.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ummy: Nitavalia njuga bei ya gesi

NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Ummy Mwalimu, ameahidi kulivalia njuga suala la bei za nishati ya gesi kwa lengo la kuhakikisha kila mwanamke wa Kitanzania ananufaika na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bei ya gesi kupanda maradufu Ukraine

Serikali ya mpwito ya Ukraine inaazimia kupandisha bei ya gesi kwa 50 %

 

11 years ago

Mwananchi

NISHATI: Bei yachelewesha gesi kusambazwa nyumbani

>Mpango wa kusambaza gesi katika nyumba wanazoishi watu ambako bomba hilo linapita jijini Dar es Salaam umekwama kuanza kutokana na mvutano wa bei baina ya Pan Africa Energy (T) Ltd na Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani