Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana 916 waandaliwa kufaidi gesi

VIJANA 916 wa Kitanzania wengi kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara, wamepewa mafunzo ya ndani na nje ya nchi zitakazokuwa na mahitaji makubwa katika sekta ya gesi. Kati ya vijana hao, vijana 668 wanatoka katika mikoa ya Lindi na Mtwara na wamepewa mafunzo ya miaka miwili ya stadi za huduma mbalimbali katika viwango vya kimataifa, katika Chuo cha Mamlaka ya Ufundi Stadi (VETA), mkoani Mtwara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KILWA WAENDELEA KUFAIDI HUDUMA ZA WAWEKEZAJI WA GESI

Mkuu wa wilaya Ya Kilwa ,Abdallah Ulega (kushoto) akipokea sehemu ya mchango uliotolewa na Kampuni ya uchimbaji gesi ya PANAFRICAN ENERGY kutoka kwa Meneja wa huduma za jamii wa kampuni hiyo,Andrew Kashangaki .
Na Abdulaziz Kilwa Masoko
Wananchi wilayani Kilwa mkoani Lindi wameendelea kunufaika na wawekezaji,baada ya kampuni ya uchimbaji gesi ya PANAFRICAN ENERGY kuikabidhi halmashauri hiyo zahanati ya kijiji cha Nangurukuru ambayo ujenzi wake umegharimu Tshs 262 Milioni .
Akizungumza wakati...

 

10 years ago

Habarileo

Vijana zaidi kufadhiliwa mafunzo ya gesi

SERIKALI imesema kuwa itaendelea na juhudi zake za kudhamini vijana kupata elimu ya mafuta na gesi wakidhi soko la ajira miaka ijayo.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Vijana 10 kusomea mafuta na gesi China


NA SELINA WILSON
VIJANA 10 wa Kitanzania waliopata ufadhili wa kusomea shahada ya uzamili na uzamivu katika masuala ya gesi na mafuta, wamekabidhiwa nyaraka muhimu ikiwemo viza.
Hatua hiyo ni mwendelezo wa serikali kuhakikisha inazalisha wataalamu wazawa wa kutosha katika sekta ya mafuta na gesi, ambao watashiriki kikamilifu.
Nafasi hizo zilitolewa na serikali ya China baada ya kuombwa na Tanzania, ikiwa ni mkakati wa kutimiza lengo hilo la kuwa na wataalamu wazawa wa kutosha.
Akizungumza kabla...

 

10 years ago

Habarileo

Membe ahimiza vijana wengi kujifunza mafuta na gesi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema ni jukumu la Serikali kuhakikisha nchi inapoelekea katika uchumi wa mafuta na gesi inasomesha vijana wengi zaidi katika sekta hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

Vijana Saba kusomea mafuta na Gesi nchini Brazili Mwakani

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava (katikati) akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya lugha ya Kireno Zahoro Athmani mmoja kati ya wanafunzi 15, waliohitimu mafunzo hayo, ambapo 7 kati yao tayari wamepata ufadhili wa masomo ya Shahada za Uzamili na Uzamivu katika fani za mafuta na gesi nchini Brazili. Kulia ni Balozi wa Brazili nchini, Fransisco Carlos Luiz, akimpongeza mwanafunzi huyo. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi...

 

11 years ago

GPL

Watakaozimia waandaliwa dawa yao

Mashabiki wa timu ya Yanga SC. Na Khadija Mngwai
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa kutokana na idadi ya mashabiki waliozimia katika mechi iliyopita ya Simba dhidi ya Yanga kuwa kubwa, wameamua kuongeza magari ya wagonjwa ‘ambulance’ ikiwa ni sehemu ya kushughulikia tatizo kama hilo endapo litajitokeza katika mechi ya kesho baina ya timu hizo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.… ...

 

9 years ago

Habarileo

Muongozo elimu bure waandaliwa

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome, amesema wizara yake inaandaa mwongozo utakaotoa maelekezo juu ya muundo, mfumo na utaratibu nyumbufu utakaohakikisha kuwa ifikapo Januari mwakani, elimu ya msingi inatolewa bila malipo.

 

9 years ago

Mtanzania

Wajawazito waandaliwa vifaa vya kujifungulia

Na Florence Sanawa, Kilwa

WANAWAKE wajawazito wapatao 150 wananufaika na huduma ya uzazi bora katika Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ wilayani Kilwa mkoani Lindi, kutokana na kijiji hicho kupata mapato ya uvunaji wa misitu ambayo yanakua kila mwaka hadi kufikia milioni 90 kwenye akaunti ya kijiji hicho.

Akizungumza na MTANZANIA, Mjumbe wa Kamati ya Kijiji ya Misitu, Maimuna Hemed, alisema kutokana na kijiji kukusanya mapato yanayokuwa kutokana na utunzaji na uvunaji wa misitu, kijiji kimejipanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani